Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi bonge la zoba
Tukikaa pamoja nitakonda Kwa uoga


Naogopa watu kichizi.
Hapa kesho Nina appointment na Mama mchungaji...Yaani natokwa na jasho😂
Mtu ambaye sijamzoea ni mtihani sana kuongea naye.
Hahahaaa...... kuonana na Mtu kwa mara ya kwanza binafsi ni mtihani kwa vile unakua hujamzoea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…