Iiiigggweeeeeeeeeeeeeeee!! Nilivo na juhudi ili madogo wafaulu Hakyanani sikubareeee!! Nitafanya juu chini walai Uwazirii nimepata mbonaa iiiigggweeeeeeeeeeeeeeee 💃💃💃🤸🤸🤸🤸!!
Siku hizi mahubiri mengi (kama unaweza kuyaita mahubiri) yameegemea sana kwenye ishu za kijamii - ndoa, mahusiano, utajiri na mipasho. Ukihubiri juu ya watu kuacha dhambi na kusimama katika kweli na utauwa utakimbiwa. Na jamaa wanajua kweli kucheza na akili za waumini wao. Huoni akina Daniel Mgogo wamekuwa mashuhuri kwa mipasho tu na comedy madhabahuni?