Alabu mafuta yale yameadimika, dar nimekosa, moro nimekosa, mbeya nilikosa, mwanza nilikosa na tunduma sikupata, au wamesitisha uzalishaji wake ππ
Ccy huku mvua inayesha toka sa kumi na mbili......sijafika ofisini nipo ofisini kwa rfk angu viatu vyangu vmechafuka vby nmezama kweny tope.....nmepewa hizo malapa na soksi...Leo nkifika ofisini boss atanitoa nduki
Alabu mafuta yale yameadimika, dar nimekosa, moro nimekosa, mbeya nilikosa, mwanza nilikosa na tunduma sikupata, au wamesitisha uzalishaji wake ππ
Ccy huku mvua inayesha toka sa kumi na mbili......sijafika ofisini nipo ofisini kwa rfk anguView attachment 2348744 viatu vyangu vmechafuka vby nmezama kweny tope.....nmepewa hizo malapa na soksi...Leo nkifika ofisini boss atanitoa nduki
π€£π€£π€£π€£!!
Poleni na Hongera sana kwa mvua sisss ππ!
Asante kwa kuselfikaaa kipenzi Walau nimekuona mchana wangu utachangamka kabisa!!
Wabheja sana ππ!!