Angetoa basi taarifa tujue hatakua hewani.
Hata ingekua ni wewe rafiki yako apotee ghafla af ni baada ya kupost picha yuko njiani ungepataje usingz kwa mfano.
Na saivi watu kila kona wanatekwa
Angetoa basi taarifa tujue hatakua hewani.
Hata ingekua ni wewe rafiki yako apotee ghafla af ni baada ya kupost picha yuko njiani ungepataje usingz kwa mfano.
Na saivi watu kila kona wanatekwa
Kwa leo niko apeche mm nitatupia siku ingine. Na nina uhakika hiyo siku hautakuwa na uhitaji. Sema nini salimia watu mjini. Wewe ni wa kuhangaika vocha na Lenie Yupo?