Selfika na JF: Snap it. Show it

Madam sophy27 msukuma Shimba ya Buyenze mlisema mida yetu mtatupiaa mkuje mkujee!! Bila kusahau mr Vocha Mjep the great kiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinnnggggg ✌️✌️✌️
Hahha tupo dada mm ndo sinapicha mpya kabisa nimetingwa yaan kupiga picha ni ishu labda ya zamni wakat nipo BintiπŸ˜‚
 
Hahha tupo dada mm ndo sinapicha mpya kabisa nimetingwa yaan kupiga picha ni ishu labda ya zamni wakat nipo BintiπŸ˜‚
Izoizooo tuone Madam jinsi ulivowatetemeshaaaaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯😘
 
Ulinunua wapi kagauni jamani πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Mim ni
Ulinunua wapi kagauni jamani πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Nlinunua mnadani.... Mim napenda fashion ccy napenda nguo, napenda urembo wa nyumba...... Hilo gauni nlinunua sh elf 2...... Lilikua limechanika mno na kubwa nlitengeneza hadi likawa hivo.... Nlichofunga kiunoni ni kitambaa Cha kichwan nmekikunja nkajifunga..... Unaweza jua mkanda..... Hicho kitambaa nlinunua buku
 
Mamaa wa FashiioooooooπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ˜˜πŸ˜˜!
Santo sana
 
Toka lini ukayajua mahaba
Toka sijazaliwa nayajua mahaba
Nimekupenda muda mrefu kabla ya mwanzo wa nyakati na nitakupenda hata wakati kumbukumbu zetu zitafutwa kutoka kwa uso wa Dunia.
Unajua siri za moyo wangu una ufunguo wa kufungua moyo wangu na nina hakika hautapoteza kamwe au utatupa
NAKUPENDA MPENZI Lovelovie toto la kisukuma
 
Shairi halijashiba tunga lingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…