Yani hio nimeisaka bila mafanikiooo ..il naendelea kuitafuta ntaiona tu!!
Mkuu Tupia nikukumbuke kwa sura bannaaa enzi hizo selfika haikuwepo ujueeee!! Enzi hizo selfika ilikua pm na kwenye avatar
Miaka flani 2013 nilenda shule flani field kwanini madam asinitongoze nilikuwa kadogo. Nikapata pa kujipoza na kulala. Ila shule nilikuwa naona so maana kila mwanafunzi na mwalimu alijua. Baadae ndio nikaambiwa kila mwaka walimu wa field Wakija huyo huwa anawahi wa kwake kidogo nioe. Huwezi amini field ya mwezi mmoja Hadi Leo tunawasilia. Nilikuwa napelekeshwa staff Kama nimeolewa alikuwa Nshomile
Miaka flani 2013 nilenda shule flani field kwanini madam asinitongoze nilikuwa kadogo. Nikapata pa kujipoza na kulala. Ila shule nilikuwa naona so maana kila mwanafunzi na mwalimu alijua. Baadae ndio nikaambiwa kila mwaka walimu wa field Wakija huyo huwa anawahi wa kwake kidogo nioe. Huwezi amini field ya mwezi mmoja Hadi Leo tunawasilia. Nilikuwa napelekeshwa staff Kama nimeolewa alikuwa Nshomile
Hahahaaa... alikuwekea shuntama huyoooo ! nshomiles kwa shuntama ni hatariiii!!! Enzi hizo chuo field nilikua bado badooo nimo nimoo nilikua na mtrakoo uwiiiii!!! Maisha hayaa Jamaniiiii!!!!
Shikamoo Ukubwa
!
Sasa nshomiles wanavopenda kartexxx ulitoboa kweli