Mkuu labda kama ulipita siku ya nyota yako.
Gairo - pandambili hakuna askari
Pandambili - kibaigwa utawakuta askari kibaigwa
Kibaigwa - Narco utawakuta askari Mtanana au pale juu ukishanyanyuka kilima cha kutokea njia panda ya Narco
Narco-mbande utawakuta pale getini, check point
Mbande - chamwino, utawakuta chinangali II au sehemu za karibu, huwa wanahama
Chamwino - Mjini utawakuta jirani na mtumba, sehemu moja inaitwa kikombo.
Baada ya hapo ni wale wa ihumwa ambao mara nyingi hawana madhara.
NB: Kuna siku nzuri, unapata askari kwenye point moja tuu out of zote hizo. Ila all in all hizo ndio point huwa wanakaa. Ila hapo tochi huwa ni point moja tuu, hawa wengine ni kuovertake kwenye mstari, ukaguzi au aamue tu kukuvizia kwa machale.