Mwenyewe nina muda sijavaa Kitambaa, ila Kuna wakati mazingira yanalazimisha.
Kuna siku tulikuwa na kikao mahala Fulani, that day nilivaa jeans
unfortunately mwenyeji wetu alikuwa boss namba 3, so nilikimbia maeneo ya Mjini faster nikatafuta suit nikatinga kuendana na mazingira