Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,902
Ah napenda yani [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani
Hata mniueee pepsi baridiii siachiiπPepsi ipo addictive mno
Nashukuru nimeikwepa
πππππMkuu,me nilidhani tyr uko nae..kumbe hata kumtongoza hukuwahi? Masikini woga wangu[emoji24][emoji24]!!!!View attachment 2276414
hapana hela sina, ila kama hajawai kuonja bikra wa kiume, ndio ataikuta kwangu πππUna hela ya kuhudumia pisi kali hiyo?
Mbn mafuta ya Nazi hayanukii kbsKuna siku nilipaka nikatoka nje,, mwee kuna mtu akanambia nanukia uzazi
π€£π€£π€£Kuna siku nilipaka nikatoka nje,, mwee kuna mtu akanambia nanukia uzazi
Ngoja niwaachie mufaidiYaani unaacha utamu????
Pole sana best
Mkuu alinikataa, kutengeza sio tatizo.. issue kukubaliwa na kupewaaaMkuu,me nilidhani tyr uko nae..kumbe hata kumtongoza hukuwahi? Masikini woga wangu[emoji24][emoji24]!!!!View attachment 2276414
Au smirnoff ice ya motoPepsi π₯ dare for moreβ¦
Akishindwa aje kwa ginger ale
Bikra ndio italipa bills?hapana hela sina, ila kama hajawai kuonja bikra wa kiume, ndio ataikuta kwangu πππ
Umebongeza 'panic mode' mkuu?wanawake wa humu kujikuta Beyonce hamjambo.. ila uzuri tushakubaliana na hali kwamba mie binafsi hakuna mwanamke nina muweza humu wala kummudu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nyie ni dada zangu na mwabwana zenu ni mashemeji zangu
Hata kama tunachezeana,, mashemeji mtuliemtaachana tu hivyo hivyo kwani wanwapenda sasa ππ
Hahaha enjoy Pepsi ni tamuHata mniueee pepsi baridiii siachii[emoji16]
πππ bora kunyoosha mikono juu, maana nao ni ushindi japo wa kinyongehahahahahaha
Na halafu wenye magari hawapigagi stori sanaππMe wananikera sana π€£π€£π€£
Kwa sababu nikijiangalia,. Uwaga nafall before hata kujua mtu ananini.
Imagine mapenzi ya kijf,, saa ngapi nitajua una gari? πππ
Chezea kuachanaPamoja na unyakanga wako ba bado ukaachwa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante nawe pia kazinjema brooNawatakia kazi njema na siku yenye baraka tele wote
Saint Anne
Depal
Nations
Mjep
Shimba ya Buyenze
Antonnia
Heaven Sent
sophy27
Rumaiya
QueenDeby
cocastic
Lenie
Christine1
Strawbella
Alayna
Na wengine wote wa jukwaa hili
myoyambendi
Katriel
Kelsea
Tinsley
Heee..mkuu mbona umekuja na sapraizi kwenye avatar yako??Makande yake sipati picha. Unakula the whole spectrum yaani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
mnao raha kuchzeana ila fresh.. tatawasaidia kuwakumbusha mambo flaniHata kama tunachezeana,, mashemeji mtulie