Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 Jun 27, 2022 #227,981 Lenie said: Hii michezo itatutoa roho haki ya nanπ€£π€£ Umeamka poa shost angu? Click to expand... Kichwa inawaka moto ukifikiria tar za kulipa cha watu Imefika πππ Niko poa kabisa, sema baridi kama loteβ¦
Lenie said: Hii michezo itatutoa roho haki ya nanπ€£π€£ Umeamka poa shost angu? Click to expand... Kichwa inawaka moto ukifikiria tar za kulipa cha watu Imefika πππ Niko poa kabisa, sema baridi kama loteβ¦
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 Jun 27, 2022 #227,982 Lenie said: Kitu inanukia hii balaaπ Click to expand... Wajumbeee ππ
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 Jun 27, 2022 #227,983 Chakorii said: Asante Kwa ujumbe. Swali namba nne huwa linanikwazaga hasa la kuolewa Click to expand... Sasa shangazi si uolewe tuache kuuliza uliza π
Chakorii said: Asante Kwa ujumbe. Swali namba nne huwa linanikwazaga hasa la kuolewa Click to expand... Sasa shangazi si uolewe tuache kuuliza uliza π
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jun 27, 2022 #227,984 Depal said: Sasa shangazi si uolewe tuache kuuliza uliza π Click to expand... Waoaji hawaonekani hakyamama tena ni mwendo wa kuwindana.cha msingi tuendelee kujenga nchiπ
Depal said: Sasa shangazi si uolewe tuache kuuliza uliza π Click to expand... Waoaji hawaonekani hakyamama tena ni mwendo wa kuwindana.cha msingi tuendelee kujenga nchiπ
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jun 27, 2022 #227,985 Satoh Hirosh said: Sidhani km nitakutetea Click to expand... Utanitetea tu
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Jun 27, 2022 #227,986 Asubuhi njema wadau...
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Jun 27, 2022 #227,987 Salam kwenu...
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jun 27, 2022 #227,988 Lee said: Changuuuu nilikumis sanaa Click to expand... Mimi pia aise..umekuwa adimu sana
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 Jun 27, 2022 #227,989 myoyambendi said: Salam kwenu... Click to expand... Assalam Aleykum jirani..
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Jun 27, 2022 #227,990 Chakorii said: Mimi pia aise..umekuwa adimu sana Click to expand... Uko poa lakini? Daaah siku nyingi sana ..mihangaiko ya hapa na pale
Chakorii said: Mimi pia aise..umekuwa adimu sana Click to expand... Uko poa lakini? Daaah siku nyingi sana ..mihangaiko ya hapa na pale
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 Jun 27, 2022 #227,991 Chakorii said: Waoaji hawaonekani hakyamama tena ni mwendo wa kuwindana.cha msingi tuendelee kujenga nchiπ Click to expand... Wapo bana ππ Njoo huku Longido wamejaa, ni kuchagua tu
Chakorii said: Waoaji hawaonekani hakyamama tena ni mwendo wa kuwindana.cha msingi tuendelee kujenga nchiπ Click to expand... Wapo bana ππ Njoo huku Longido wamejaa, ni kuchagua tu
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Jun 27, 2022 #227,992 Depal said: Assalam Aleykum jirani.. Click to expand... Waalaykum Salam jirani.. Hujambo,
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 Jun 27, 2022 #227,993 myoyambendi said: Waalaykum Salam jirani.. Hujambo, Click to expand... Sijambo, nakuona..
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jun 27, 2022 #227,994 Depal said: Wapo bana ππ Njoo huku Longido wamejaa, ni kuchagua tu Click to expand... Hao wa Uko wa napiga sana.hivi hauna kaka yako mrefu hivi mwenye upendo wa agape tuunganishe upendo wangu wa Yesu tuunde familia
Depal said: Wapo bana ππ Njoo huku Longido wamejaa, ni kuchagua tu Click to expand... Hao wa Uko wa napiga sana.hivi hauna kaka yako mrefu hivi mwenye upendo wa agape tuunganishe upendo wangu wa Yesu tuunde familia
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jun 27, 2022 #227,995 Lee said: Uko poa lakini? Daaah siku nyingi sana ..mihangaiko ya hapa na pale Click to expand... Niko poa sana ninamshukuru Mungu. Bila kuwa na mihangaiko tutaishia kuwa manula halafu tuchokwe
Lee said: Uko poa lakini? Daaah siku nyingi sana ..mihangaiko ya hapa na pale Click to expand... Niko poa sana ninamshukuru Mungu. Bila kuwa na mihangaiko tutaishia kuwa manula halafu tuchokwe
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Jun 27, 2022 #227,996 Depal said: Sijambo, nakuona.. Click to expand... nipo jirani..
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jun 27, 2022 #227,997 Depal said: Kichwa inawaka moto ukifikiria tar za kulipa cha watu Imefika πππ Niko poa kabisa, sema baridi kama loteβ¦ Click to expand... Unatamani ujisahaulishe ile wapi We jana usiku si ulienda kununua sweta, hukupata la size yako au ulikuta yameisha?π
Depal said: Kichwa inawaka moto ukifikiria tar za kulipa cha watu Imefika πππ Niko poa kabisa, sema baridi kama loteβ¦ Click to expand... Unatamani ujisahaulishe ile wapi We jana usiku si ulienda kununua sweta, hukupata la size yako au ulikuta yameisha?π
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jun 27, 2022 #227,998 Depal said: Wajumbeee ππ Click to expand... Hatari sana wajumbe
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 Jun 27, 2022 #227,999 Lenie said: Unatamani ujisahaulishe ile wapi We jana usiku si ulienda kununua sweta, hukupata la size yako au ulikuta yameisha?π Click to expand... Unaanzia wapi kujisahaulisha π wajumbe watakutoa masikio.. Jana nilikuta makubwa tupu π€£ nikasepa
Lenie said: Unatamani ujisahaulishe ile wapi We jana usiku si ulienda kununua sweta, hukupata la size yako au ulikuta yameisha?π Click to expand... Unaanzia wapi kujisahaulisha π wajumbe watakutoa masikio.. Jana nilikuta makubwa tupu π€£ nikasepa
Ntiluseswa JF-Expert Member Joined Oct 22, 2021 Posts 670 Reaction score 2,278 Jun 27, 2022 #228,000 cocastic said: Akaaaah tuma ya halotel Click to expand... Coca tuma namba yako,,kwan ukinitumia namba yako kuna ubaya gan!nambie nijue meme
cocastic said: Akaaaah tuma ya halotel Click to expand... Coca tuma namba yako,,kwan ukinitumia namba yako kuna ubaya gan!nambie nijue meme