Saint Anne kheri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa ndugu
Ni siku ambayo kwako nahisi itakuwa ya shamlashamla kwa kidogo ulichojaaliwa kulingana na riziki zake Jalaali Insh'Allah
Japo usiwasahau wale waliokufanya ujipongeze kwa siku ya leo , namaanisha baba na mama yako kama wapo wakumbuke leo kwa chochote ila kama hawapo , wakumbuke katika swala na kheri huko waliko.
HAPPY BIRTHDAY DAY
Sent from my SM-J410F using
JamiiForums mobile app