Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu wa june wana makelele sanaaa
Wachokozi
Wabishi
Akianza kuongea saa 1 ni mpaka saa 4 kasoro…

Happy 30s dogo [emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1787]
We umeona hapo hadi Mjep ni team June.

Kuna namna huu mwezi una baraka za kipekee.



[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Tumewaacha sasa kwenye kundi la watoto.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Eti tuna huruma[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mdogo wangu mimi nimeshajipanga hapa na kapu la kupokea zawadi za birthday
Nautangazia umma wa selfika kuwa mimi ndiye nimeteuliwa na familia kwa ajili ya zoezi hilo
[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuna huruma sana..
Mfano mzuri ni wewe hapo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787]
We umeona hapo hadi Mjep ni team June.

Kuna namna huu mwezi una baraka za kipekee.



[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Tumewaacha sasa kwenye kundi la watoto.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Even my mom ni wa june 😁
Nawajua very well… mna kelele sana hata kwa kitu kidogo cha ku ignore
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…