Kipindi cha mwamba.. ukweli raha tulikula, unaingia kazini una set mambo unawahi kula bata mwanza .. ila sasa mambo ni jehanamu hela inapatikana kwa mshumaa πππππ
Kipindi cha mwamba.. ukweli raha tulikula, unaingia kazini una set mambo unawahi kula bata mwanza .. ila sasa mambo ni jehanamu hela inapatikana kwa mshumaa πππππ
Hahaha mkuu unanikumbusha kuna kipindi nilikuwa nafanyia kazi porini..jioni nawasha gari huyo Karatu au Mbulu.
Na kuna kipindi nilikuwa porini kule Mkuranga ndani ndani jioni narudi Dar.
Lakini wese lilivyopanda hivi mahesabu ni makali sanaa
Hahaha mkuu unanikumbusha kuna kipindi nilikuwa nafanyia kazi porini..jioni nawasha gari huyo Karatu au Mbulu.
Na kuna kipindi nilikuwa porini kule Mkuranga ndani ndani jioni narudi Dar.
Lakini wese lilivyopanda hivi mahesabu ni makali sanaa