Selfika na JF: Snap it. Show it

Kipindi cha mwamba.. ukweli raha tulikula, unaingia kazini una set mambo unawahi kula bata mwanza .. ila sasa mambo ni jehanamu hela inapatikana kwa mshumaa πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Hahaha mkuu unanikumbusha kuna kipindi nilikuwa nafanyia kazi porini..jioni nawasha gari huyo Karatu au Mbulu.
Na kuna kipindi nilikuwa porini kule Mkuranga ndani ndani jioni narudi Dar.
Lakini wese lilivyopanda hivi mahesabu ni makali sanaa
 
Hahaha mkuu unanikumbusha kuna kipindi nilikuwa nafanyia kazi porini..jioni nawasha gari huyo Karatu au Mbulu.
Na kuna kipindi nilikuwa porini kule Mkuranga ndani ndani jioni narudi Dar.
Lakini wese lilivyopanda hivi mahesabu ni makali sanaa
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Sema kipindi hiki ramani hazina North wala South.. ukisema unachoma mafuta kila siku.. lazima roho ikuume. Haya mambo ya nyakati zake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…