Selfika na JF: Snap it. Show it

SYB

Huyo mnyaki ni

Ana akili

Makatapela kayala sana

Na ni mzuri

Sema nini

Dini sana tumsifu nyingi


Akili hizo najua.

Hata mambo anayoandikaga hapa JF tu yanaonyesha hivyo.

Na uzuri hilo pia liko wazi...

Selfika nilizoona hapa zinadhihirisha hilo.

Kikwazo sasa ni hizo tumsifu nyingi. Halafu huwa nahisi kama kuna Baba Mchungaji alishatuwahi. Niko sahihi?
 
๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค” wewe huyu Mtumishi?
 
Mkwara wa fundi saa


Jimbo huru nahisi

Huyu anapaswa kutulizwa Usukumani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ