Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,335 Jun 10, 2022 #212,901 Mjep said: Ewaaaa....ππ Vitu tulimiss hivi Ahsante sana boss lady Click to expand... Shukrani mr Vocha mkombozi wetu!ππ
Mjep said: Ewaaaa....ππ Vitu tulimiss hivi Ahsante sana boss lady Click to expand... Shukrani mr Vocha mkombozi wetu!ππ
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,403 Jun 10, 2022 #212,902 Tinsley said: Hahah mimi pia Rahisi sana mtu kuingia inbox kwako kusoma sms . Click to expand... Msg nimezi lock hadi muda mwingine nachoka nakwambia. Baada ya ku lock msg, mtu hata achukue aende nayo wapi sina hofu.
Tinsley said: Hahah mimi pia Rahisi sana mtu kuingia inbox kwako kusoma sms . Click to expand... Msg nimezi lock hadi muda mwingine nachoka nakwambia. Baada ya ku lock msg, mtu hata achukue aende nayo wapi sina hofu.
CAPTORHINOMORPHS JF-Expert Member Joined Sep 29, 2019 Posts 3,066 Reaction score 7,650 Jun 10, 2022 #212,903 Tinsley said: Ah ngumu sana tuache wanaoweza kwa kweli Mimi ni foodie siwezi kufanya diet kabisa Wanga haukwepeki kabisa kwa maisha haya ya kitanzania ..maana lazima uangukie huko . Click to expand... Unakwepeka
Tinsley said: Ah ngumu sana tuache wanaoweza kwa kweli Mimi ni foodie siwezi kufanya diet kabisa Wanga haukwepeki kabisa kwa maisha haya ya kitanzania ..maana lazima uangukie huko . Click to expand... Unakwepeka
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,335 Jun 10, 2022 #212,904 Mjep said: Ewaaaa....ππ Vitu tulimiss hivi Ahsante sana boss lady Click to expand... Shukrani mr Vocha mkombozi wetu!ππ
Mjep said: Ewaaaa....ππ Vitu tulimiss hivi Ahsante sana boss lady Click to expand... Shukrani mr Vocha mkombozi wetu!ππ
Nations JF-Expert Member Joined May 4, 2022 Posts 4,892 Reaction score 16,997 Jun 10, 2022 #212,905 Hannah said: Kazi ikiisha na kenyewe unakatupa. Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.View attachment 2256162 Click to expand... πππ mie hutu ningekuwa natunza ningekuwa nato twingi sanaa.. password kila konaa data una save kwenye simu card au simu yenyewe
Hannah said: Kazi ikiisha na kenyewe unakatupa. Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.View attachment 2256162 Click to expand... πππ mie hutu ningekuwa natunza ningekuwa nato twingi sanaa.. password kila konaa data una save kwenye simu card au simu yenyewe
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Jun 10, 2022 #212,906 Hannah said: Kazi ikiisha na kenyewe unakatupa. Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.View attachment 2256162 Click to expand... Kana kazi gani? Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hannah said: Kazi ikiisha na kenyewe unakatupa. Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.View attachment 2256162 Click to expand... Kana kazi gani? Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nations JF-Expert Member Joined May 4, 2022 Posts 4,892 Reaction score 16,997 Jun 10, 2022 #212,907 Heaven Sent said: Basi utupie sasa hivi kabla sijapeperuka. Weekend ndefu sana Click to expand... Acha nikatume katoto hapo kakalete
Heaven Sent said: Basi utupie sasa hivi kabla sijapeperuka. Weekend ndefu sana Click to expand... Acha nikatume katoto hapo kakalete
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 10, 2022 #212,908 Hannah said: Msg nimezi lock hadi muda mwingine nachoka nakwambia. Baada ya ku lock msg, mtu hata achukue aende nayo wapi sina hofu. Click to expand... Yani inawahi kujifunga hiyo , kila saa uingize tu password Hapo unakuwa hauna wasi wasi kabisa maana sms hizi zinaweza kukumbua hivi hivi Siwezi kukaa bila kitochi ..nimekuwa addicted navyo vibaya popote unakitoa na kuwa huru .
Hannah said: Msg nimezi lock hadi muda mwingine nachoka nakwambia. Baada ya ku lock msg, mtu hata achukue aende nayo wapi sina hofu. Click to expand... Yani inawahi kujifunga hiyo , kila saa uingize tu password Hapo unakuwa hauna wasi wasi kabisa maana sms hizi zinaweza kukumbua hivi hivi Siwezi kukaa bila kitochi ..nimekuwa addicted navyo vibaya popote unakitoa na kuwa huru .
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,403 Jun 10, 2022 #212,909 Basi mnaotumia voda niambieni basi kifurushi gani cha 5k maana hapa nateseka kila saa naangalia salio. Naona voda washaanza kunitumia msg sijui jiunge na "Simulizi" mara "mlio" yaani vurugu tu .
Basi mnaotumia voda niambieni basi kifurushi gani cha 5k maana hapa nateseka kila saa naangalia salio. Naona voda washaanza kunitumia msg sijui jiunge na "Simulizi" mara "mlio" yaani vurugu tu .
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Jun 10, 2022 #212,910 Mjep said: Umeanza kumuiga aunt Lizzy mdogo wangu Click to expand... Hapo nilikuwa nasuuza tu mdomo baada ya chai nzito Nataka nipate lunch sasa. Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mjep said: Umeanza kumuiga aunt Lizzy mdogo wangu Click to expand... Hapo nilikuwa nasuuza tu mdomo baada ya chai nzito Nataka nipate lunch sasa. Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,335 Jun 10, 2022 #212,911 Nuzulati said: Na mimi nataka Vochaπ© Click to expand... Mie pia _King leo sikubaliiiππ sijawahi bahatisha vocha yako baba pasta!!
Nuzulati said: Na mimi nataka Vochaπ© Click to expand... Mie pia _King leo sikubaliiiππ sijawahi bahatisha vocha yako baba pasta!!
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 10, 2022 #212,912 CAPTORHINOMORPHS said: Unakwepeka Click to expand... Ah kweli Hapo lazima uwe committed
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,377 Jun 10, 2022 #212,913 _King said: Acha nikatume katoto hapo kakalete Click to expand... Uuuuuh haya
Nations JF-Expert Member Joined May 4, 2022 Posts 4,892 Reaction score 16,997 Jun 10, 2022 #212,914 Hannah said: Msg nimezi lock hadi muda mwingine nachoka nakwambia. Baada ya ku lock msg, mtu hata achukue aende nayo wapi sina hofu. Click to expand... Labda kilaza ndio haifingui πππ kana common password kama zote.. dk sifuri nafungua kila kitu πππ
Hannah said: Msg nimezi lock hadi muda mwingine nachoka nakwambia. Baada ya ku lock msg, mtu hata achukue aende nayo wapi sina hofu. Click to expand... Labda kilaza ndio haifingui πππ kana common password kama zote.. dk sifuri nafungua kila kitu πππ
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,335 Jun 10, 2022 #212,915 Hannah said: Basi mnaotumia voda niambieni basi kifurushi gani cha 5k maana hapa nateseka kila saa naangalia salio. Naona voda washaanza kunitumia msg sijui jiunge na "Simulizi" mara "mlio" yaani vurugu tu . Click to expand... Ukizubaa unakuta imepungua washakata vihuduma vyao ushenzi!! Jiunge mapema !
Hannah said: Basi mnaotumia voda niambieni basi kifurushi gani cha 5k maana hapa nateseka kila saa naangalia salio. Naona voda washaanza kunitumia msg sijui jiunge na "Simulizi" mara "mlio" yaani vurugu tu . Click to expand... Ukizubaa unakuta imepungua washakata vihuduma vyao ushenzi!! Jiunge mapema !
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,377 Jun 10, 2022 #212,916 Hannah said: Basi mnaotumia voda niambieni basi kifurushi gani cha 5k maana hapa nateseka kila saa naangalia salio. Naona voda washaanza kunitumia msg sijui jiunge na "Simulizi" mara "mlio" yaani vurugu tu . Click to expand... Angalia ya kwako tu kwanza *149*03#
Hannah said: Basi mnaotumia voda niambieni basi kifurushi gani cha 5k maana hapa nateseka kila saa naangalia salio. Naona voda washaanza kunitumia msg sijui jiunge na "Simulizi" mara "mlio" yaani vurugu tu . Click to expand... Angalia ya kwako tu kwanza *149*03#
Nations JF-Expert Member Joined May 4, 2022 Posts 4,892 Reaction score 16,997 Jun 10, 2022 #212,917 Antonnia said: Mie pia _King leo sikubaliiiππ sijawahi bahatisha vocha yako baba pasta!! Click to expand... Ndio mkae macho macho nane mkikosa hiii itakuwa sio makosa yangu πππ
Antonnia said: Mie pia _King leo sikubaliiiππ sijawahi bahatisha vocha yako baba pasta!! Click to expand... Ndio mkae macho macho nane mkikosa hiii itakuwa sio makosa yangu πππ
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,377 Jun 10, 2022 #212,918 Antonnia said: Ukizubaa unakuta imepungua washakata vihuduma vyao ushenzi!! Jiunge mapema ! Click to expand... Yeah voda wana huo udwanzi sana
Antonnia said: Ukizubaa unakuta imepungua washakata vihuduma vyao ushenzi!! Jiunge mapema ! Click to expand... Yeah voda wana huo udwanzi sana
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,335 Jun 10, 2022 #212,919 Heaven Sent said: Yeah voda wana huo udwanzi sana Click to expand... Wajinga sana hivi nikitaka kugundua huduma gani nafanyeje??? Nataka nijiondoe aseee
Heaven Sent said: Yeah voda wana huo udwanzi sana Click to expand... Wajinga sana hivi nikitaka kugundua huduma gani nafanyeje??? Nataka nijiondoe aseee
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,403 Jun 10, 2022 #212,920 Tinsley said: Yani inawahi kujifunga hiyo , kila saa uingize tu password Hapo unakuwa hauna wasi wasi kabisa maana sms hizi zinaweza kukumbua hivi hivi Siwezi kukaa bila kitochi ..nimekuwa addicted navyo vibaya popote unakitoa na kuwa huru . Click to expand... Ukitaka isijifunge kama unachati hapo hapo mtu anajibu usiende back. Maana kutoa lock kila saa inatesa.
Tinsley said: Yani inawahi kujifunga hiyo , kila saa uingize tu password Hapo unakuwa hauna wasi wasi kabisa maana sms hizi zinaweza kukumbua hivi hivi Siwezi kukaa bila kitochi ..nimekuwa addicted navyo vibaya popote unakitoa na kuwa huru . Click to expand... Ukitaka isijifunge kama unachati hapo hapo mtu anajibu usiende back. Maana kutoa lock kila saa inatesa.