Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jun 7, 2022 #210,741 Tinsley said: Ooh sahihi Kabisa huwa sipendi nguo inibane ..hivyo hizi za kujiachia ndo nazipendaga . Ata ule vipi haikutoi kitambi Click to expand... Hapo kwenye kitambiπππ
Tinsley said: Ooh sahihi Kabisa huwa sipendi nguo inibane ..hivyo hizi za kujiachia ndo nazipendaga . Ata ule vipi haikutoi kitambi Click to expand... Hapo kwenye kitambiπππ
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 7, 2022 #210,742 Lenie said: Hapo kwenye kitambi Click to expand... Tujiachie tu yaani Hakikwepeki maadamu umependeza inatosha
Lenie said: Hapo kwenye kitambi Click to expand... Tujiachie tu yaani Hakikwepeki maadamu umependeza inatosha
Post M-alone JF-Expert Member Joined Aug 18, 2021 Posts 2,962 Reaction score 9,557 Jun 7, 2022 #210,743 Foxhound said: View attachment 2253094 mawardat nikirudi huku tusitafutane! Komaa na babu yako!! Click to expand... Hivi hili suala ni kweli? nipe connection mkuu, maisha yenyewe mafupi.
Foxhound said: View attachment 2253094 mawardat nikirudi huku tusitafutane! Komaa na babu yako!! Click to expand... Hivi hili suala ni kweli? nipe connection mkuu, maisha yenyewe mafupi.
_Authority Member Joined Jun 7, 2022 Posts 36 Reaction score 121 Jun 7, 2022 #210,744 Post M-alone said: Hivi hili suala ni kweli? nipe connection mkuu, maisha yenyewe mafupi. Click to expand... Ukifanikiwa nishtue na mie
Post M-alone said: Hivi hili suala ni kweli? nipe connection mkuu, maisha yenyewe mafupi. Click to expand... Ukifanikiwa nishtue na mie
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,377 Jun 7, 2022 #210,745 Saint Anne said: Kitambi St AnneView attachment 2253105 Maelezo tutayatoa kwa Mungu Mbinguni. Tusipeane kazi ya kujibu tuhuma utadhani kiama imefika sasa.. Click to expand... Em shusha picha kwa chini kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
Saint Anne said: Kitambi St AnneView attachment 2253105 Maelezo tutayatoa kwa Mungu Mbinguni. Tusipeane kazi ya kujibu tuhuma utadhani kiama imefika sasa.. Click to expand... Em shusha picha kwa chini kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
Post M-alone JF-Expert Member Joined Aug 18, 2021 Posts 2,962 Reaction score 9,557 Jun 7, 2022 #210,746 _Authority said: Ukifanikiwa nishtue na mie Click to expand... Aisee kumbe sipo peke yangu, mkuu usijali.
_Authority said: Ukifanikiwa nishtue na mie Click to expand... Aisee kumbe sipo peke yangu, mkuu usijali.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,279 Reaction score 832,323 Jun 7, 2022 Thread starter #210,747
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jun 7, 2022 #210,748 Tinsley said: Tujiachie tu yaani Hakikwepeki maadamu umependeza inatosha Kuna nguo naipenda nilivaa mara moja nataka kuigawa nikiona kila siku napata hasira ...Kitambi kinajichora kabisa Click to expand... πππ Najiangalia hapa kitambi kilivyotuma na hiki kitenge nacheka tu mwenyewπ Kuna nguo zinachora adi unajishtukia yaani
Tinsley said: Tujiachie tu yaani Hakikwepeki maadamu umependeza inatosha Kuna nguo naipenda nilivaa mara moja nataka kuigawa nikiona kila siku napata hasira ...Kitambi kinajichora kabisa Click to expand... πππ Najiangalia hapa kitambi kilivyotuma na hiki kitenge nacheka tu mwenyewπ Kuna nguo zinachora adi unajishtukia yaani
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 7, 2022 #210,749 Lenie said: Najiangalia hapa kitambi kilivyotuma na hiki kitenge nacheka tu mwenyew Kuna nguo zinachora adi unajishtukia yaani Click to expand... Ah kuwa comfortable , maisha ni haya haya Jana nilivaa kigauni fulani najua sio sema nalipenda ukisimama hkuna shida ila ukikaa tu hicho kinajichojokeza
Lenie said: Najiangalia hapa kitambi kilivyotuma na hiki kitenge nacheka tu mwenyew Kuna nguo zinachora adi unajishtukia yaani Click to expand... Ah kuwa comfortable , maisha ni haya haya Jana nilivaa kigauni fulani najua sio sema nalipenda ukisimama hkuna shida ila ukikaa tu hicho kinajichojokeza
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Jun 7, 2022 #210,750 Post M-alone said: Hivi hili suala ni kweli? nipe connection mkuu, maisha yenyewe mafupi. Click to expand...
Post M-alone said: Hivi hili suala ni kweli? nipe connection mkuu, maisha yenyewe mafupi. Click to expand...
_Authority Member Joined Jun 7, 2022 Posts 36 Reaction score 121 Jun 7, 2022 #210,751 Post M-alone said: Aisee kumbe sipo peke yangu, mkuu usijali. Click to expand... Mie hata wakitaka machine nawaachia tu ππ
Post M-alone said: Aisee kumbe sipo peke yangu, mkuu usijali. Click to expand... Mie hata wakitaka machine nawaachia tu ππ
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,259 Jun 7, 2022 #210,752 Heaven Sent said: Em shusha picha kwa chini kidogo Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ili ukione kitambi vizuri Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Heaven Sent said: Em shusha picha kwa chini kidogo Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ili ukione kitambi vizuri Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Jun 7, 2022 #210,753 Heaven Sent said: Mshindweee Click to expand... ππ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jun 7, 2022 #210,754 Tinsley said: Ah kuwa comfortable , maisha ni haya haya Jana nilivaa kigauni fulani najua sio sema nalipenda ukisimama hkuna shida ila ukikaa tu hicho kinajichojokeza Click to expand... Na changu hvyo hvyo hapa nimekaa ndio kitambi kimechomoza, nkisimama kutembea fresh. Hii miili yetu bana ukiifatilia sana utashindwa kuvaa nguo nzuri
Tinsley said: Ah kuwa comfortable , maisha ni haya haya Jana nilivaa kigauni fulani najua sio sema nalipenda ukisimama hkuna shida ila ukikaa tu hicho kinajichojokeza Click to expand... Na changu hvyo hvyo hapa nimekaa ndio kitambi kimechomoza, nkisimama kutembea fresh. Hii miili yetu bana ukiifatilia sana utashindwa kuvaa nguo nzuri
_Authority Member Joined Jun 7, 2022 Posts 36 Reaction score 121 Jun 7, 2022 #210,755 Lenie said: Na changu hvyo hvyo hapa nimekaa ndio kitambi kimechomoza, nkisimama kutembea fresh. Hii miili yetu bana ukiifatilia sana utashindwa kuvaa nguo nzuri Click to expand... Hicho kitambi tafadhali kiache kipo sex sanaaa πππ
Lenie said: Na changu hvyo hvyo hapa nimekaa ndio kitambi kimechomoza, nkisimama kutembea fresh. Hii miili yetu bana ukiifatilia sana utashindwa kuvaa nguo nzuri Click to expand... Hicho kitambi tafadhali kiache kipo sex sanaaa πππ
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 7, 2022 #210,756 Lenie said: Na changu hvyo hvyo hapa nimekaa ndio kitambi kimechomoza, nkisimama kutembea fresh. Hii miili yetu bana ukiifatilia sana utashindwa kuvaa nguo nzuri Click to expand... Hahaha unakaa kiubishi tu Kikubwa upendeze mambo mengine hayo ni extra
Lenie said: Na changu hvyo hvyo hapa nimekaa ndio kitambi kimechomoza, nkisimama kutembea fresh. Hii miili yetu bana ukiifatilia sana utashindwa kuvaa nguo nzuri Click to expand... Hahaha unakaa kiubishi tu Kikubwa upendeze mambo mengine hayo ni extra
tamsana Platinum Member Joined Jan 13, 2012 Posts 3,831 Reaction score 8,247 Jun 7, 2022 #210,757 Kwa nini hamtaki vitambi Lenie Tinsley
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,255 Reaction score 90,461 Jun 7, 2022 #210,758 tamsana said: Kwa nini hamtaki vitambi Lenie Tinsley Click to expand... kitambi noma
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Jun 7, 2022 #210,759 πΆπΆ
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 7, 2022 #210,760 tamsana said: Kwa nini hamtaki vitambi Lenie Tinsley Click to expand... Vinatuharibia kutwa kuchomoza tu Ah tunaishi navyo lakini
tamsana said: Kwa nini hamtaki vitambi Lenie Tinsley Click to expand... Vinatuharibia kutwa kuchomoza tu Ah tunaishi navyo lakini