Selfika na JF: Snap it. Show it

Mweeeh kumbe sina nilijualo. 🤣🤣🤣
 
Watu badala ya kuselfika mnaanza kutuletea story za kiwaki.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ndio maana naogopaaa nisije honga hadi miguuu..
 
wee km kwa uwanja ule, niliye karibu nae, hata yeye shouzzz angu yuko karibu nae, labda wageukane wenyeweeee.

Weraaaaaah weraaaaaah. JF ya motoooooh.
🤣🤣🤣🤣 na ubaya wa kugeukana unaujua???
Haha mtawapaje watu faida humu

Ujinga wa humu… mtu anafosi kukuzoea
Anakuchota info
Mbuzi wa uswazi anakuchotaa
Akitosheka.. anapelekea mashost zake ambao ww ni kinder hampatani. Sasa jichanganyeeee

Watu wanajifanya mashost, kumbe wamekuja kwa kazi maalumu. Unaona kakuletea ubuyu/ umbea kumbe ni anakusogeza mdomoni kwa mamba

Alooooo
Nyieeee
Kuna watu wataja sutwa vibaya humuuuu

Miss Buza utapita tu hapa… nikuambie tu
Depal uwa hapanikishwiii
Wee ji rotateee hukoo 😆😆 ukichoka zimaga data utafute hela za kula.


🤣🤣🤣
 
Na wewe menejaa wa masnichiiii
Bingwa wa kutungia watu story

Uachage la hasha deal na yako.
Watu washakujua… ngoja siku ulivagae kw mtu asiye na akili aruke na wewe.
Pakuficha ID yako utapatafuta nakwambia..
 
Coca Dada naomba niache kidogo

Mbona unaamsha vilivyolala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…