Selfika na JF: Snap it. Show it

Ah mbaya sana
Nimeumia aisee
Pesa si nzuri hizi dah
Mie huwa naongea tyuuh hapa, ila kiuhalisia wala siko hivyo,
Mtu had nikubali anizagamue bas, nna hisia nae mnooo.

Siwezi kujitesa eti kisa pesa, khaaaah si uhaini huu, yaan unaikatili nafsi kabisaa.
 
Sawa kabisa mwanamke ukijua kutafuta hela pesa sio kitu kikubwa kwenye mahusiano kunakitu kinaitwa furaha
Ooh well said

Inahitajika sisi ke tuweze kutafuta vya kwetu .
Napendaga sana kuona wanawake waliofanikiwa huwa nawadmire wao ni ma CEO wa kampuni fulani hapa bongo.
 
Mie huwa naongea tyuuh hapa, ila kiuhalisia wala siko hivyo,
Mtu had nikubali anizagamue bas, nna hisia nae mnooo.

Siwezi kujitesa eti kisa pesa, khaaaah si uhaini huu, yaan unaikatili nafsi kabisaa.

Ooh kumbe
Hii chitchat sema mtu anaweza hisi upo hivyo

Sure lazima uwe na feeling na huyo mtu na kufanya kwa ajili ya pesa unajishusha thamani yako .

Pesa haina maana mbele ya utu wako .
Nakubaliana na wewe kabisa ...
 
Nipasie hapa mdogo wangu wee walete kwangu
!
Aunt naweza kukupa asee kunahuyu sijawahi vutiwa nae Yuko vizuri Sana alafu kuhudimia sasa Yan hujakohoa huyu hapa Hadi watu wanashngaa vile hakataliwagi mie bhna nikupende hasa pesa sio kitu sijui nimerogwa
 
Ooh kumbe
Hii chitchat sema mtu anaweza hisi upo hivyo

Sure lazima uwe na feeling na huyo mtu na kufanya kwa ajili ya pesa unajishusha thamani yako .

Pesa haina maana mbele ya utu wako .
Nakubaliana na wewe kabisa ...
Raha uwe na mtu unaye mfeel, akikugusa tyuuh koki inajiacha pwaaaah, raha bhana kuzagamuana na unae mpenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…