ila kuna kazi , nikipita maeneo maeneo nabaki nawaza tu leo kuna sehemu nilienda ile naingia tu kuna wawili walikuwa wanatoka cheeee, mbele yangu mwenyeji wangu akawa ametokea nikashindwa geuka ila yeye akabaki anaona noma kucheko mwisho wa siku tukaanza kucheka na wote tukageuka yaani mtu kama kajichora
ila kuna kazi , nikipita maeneo maeneo nabaki nawaza tu leo kuna sehemu nilienda ile naingia tu kuna wawili walikuwa wanatoka cheeee, mbele yangu mwenyeji wangu akawa ametokea nikashindwa geuka ila yeye akabaki anaona noma kucheko mwisho wa siku tukaanza kucheka na wote tukageuka yaani mtu kama kajichora