Selfika na JF: Snap it. Show it

Shukrani sana katibu

Aaah mjomba Naamini haya mambo kwako ni yakawaida sana mjomba!!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Yanakuwaga kawaida kwa ambae umetembea na nyavu, ila kwa ambae ujafunga wala kupiga shuti gorini lazima yawe maajabu tuuu alafu nimepitiwa tena nimeshindwa hata kuitunza picha kwenye flame πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£ mbona nimeshairudia sana tu hii mjomba!!
 
Mwenyekiti huwezi nifungia hii PM maana Kula mbele ya watu nimeshindwa ni yamoto sana 🀣 🀣 , nitaenda Kula nyumbani
Fanya kuipuliza kwanza katibu! ili usife njaa katibu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ€­πŸ€­
 
Na mimi niliku mind haujatupia ya obama wakati uliahidi...
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Nilikatazwaaa na chombo ua fundi kumbe kuna siku ilichungulia Id yangu.. sasa jana ikaanza kunichambaaa inaniambia inaona tu ninavyo jifanya kichaa hukuu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
pole sana mjomba sitiresi sio kitu kizuri kabisa mjomba!!
Hizi kama pigo za kihome home flaniii hivi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… unaenda kisimani hivyo πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ acha niache ku imagine nipite zangu kushoto πŸšΆβ€β™‚οΈπŸšΆβ€β™‚οΈπŸšΆβ€β™‚οΈ
 
Hizi kama pigo za kihome home flaniii hivi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… unaenda kisimani hivyo πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ acha niache ku imagine nipite zangu kushoto πŸšΆβ€β™‚οΈπŸšΆβ€β™‚οΈπŸšΆβ€β™‚οΈ
Mbona kisimani mjombaπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ€”πŸ€”πŸ€”!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…