Selfika na JF: Snap it. Show it

We ni mtu poa sana Mjep, mie sina shida na wewe you have made it clear, again I have hurt myself by hurting you..., sorry my friend.
peace mkuu.
Nakushukuru kwa hilo chief πŸ™πŸ™πŸ™
Amani ni muhimu sana kaka mkubwa

Sasa acha niwatafutie ma manzi wanzurii wa kuwakojoza mkafurahi au hamtaki plus hotel za nyota saba au hamtaki au basi 🀭🀭🀭 hampendi hayo mambo
 
Mkuu inabidi unifundishe kuangalia, mkuu utakua unajua mengi sana... hatari sana.
 
Bosi leo naona upako kama wote. Hivi na huko visiwani kuna makanisa wanachochea muziki na yale masipika yao ya kutetemesha mpaka madirisha na kuabudu kwa uhuru kabisa?

Hapo ni geto ndugu yangu, naitengeneza furaha. Lakini makanisa yapo mengi tu. Upako upo siku zote sema kiwango kinatofautiana siku na siku. Tokea jana niko full charged.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…