Kumbe mnajua ila mnaletaga ununda tuu hapa jf....watu wanawatongozeni nyie mara handsome boy mara sijui awe na degree....kama kula kwenu sii ulikuwa wala huku kwa mwanaume umefuata de libolo tuu
Sio me naongea general
Ukikutana na ke anayependa kazi .. yeye kuolewa anaona kutampotezea muda maana inahitajika azae mara hivyo si rahisi kufikia mambo aliyotamani .
Sio me naongea general
Ukikutana na ke anayependa kazi .. yeye kuolewa anaona kutampotezea muda maana inahitajika azae mara hivyo si rahisi kufikia mambo aliyotamani .
Ah sasa huyo sii anaweza akawa anapelekewa moto mbususu tuu kwani shida iko wapi. Tena wa namna hiyo mie ndio natafuta....yaani kila mtu na career yake no watoto wala nini ...ni kugegedana na kazi basi
Ah sasa huyo sii anaweza akawa anapelekewa moto mbususu tuu kwani shida iko wapi. Tena wa namna hiyo mie ndio natafuta....yaani kila mtu na career yake no watoto wala nini ...ni kugegedana na kazi basi
Yaani bila kuchelewa asije akabadili gia angani. Wala hatasikia nikilala sijui mbona hujapika mara ah mbona hunizali watoto...hatasikia kamwe. Yeye cha msingi anipee mbususu na kila mtu apige kazi basi
Yaani bila kuchelewa asije akabadili gia angani. Wala hatasikia nikilala sijui mbona hujapika mara ah mbona hunizali watoto...hatasikia kamwe. Yeye cha msingi anipee mbususu na kila mtu apige kazi basi