Inasikitisha sana kwamba alikuwa anawauza dah
Sio haki kabisa dah
Nimemuonea huruma dah ,hakika Mungu ni mwaminifu atamfungulia njia ili aweze kufikia ndoto zake.
Hao wanapita chuoni basi mtihani , dunia haipo fair jamani
Kumbe mnajua ila mnaletaga ununda tuu hapa jf....watu wanawatongozeni nyie mara handsome boy mara sijui awe na degree....kama kula kwenu sii ulikuwa wala huku kwa mwanaume umefuata de libolo tuu