Selfika na JF: Snap it. Show it

Nachat na kale katoto kamiss kangu

Namwambia mdogo wangu ungeenda ungeshinda...analalamika kuwa kuna upendeleo.


Wadau muwasaidie hawa watoto kupaza sautiView attachment 2232960
Inasikitisha sana kwamba alikuwa anawauza dah
Sio haki kabisa dah
Nimemuonea huruma dah ,hakika Mungu ni mwaminifu atamfungulia njia ili aweze kufikia ndoto zake.

Hao wanapita chuoni basi mtihani , dunia haipo fair jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…