Fafanua vizruri hapa hapa bila kuingia gharama ya 3rd part maana wengine wanaingia gharama za kuingia internet cafe au kununua vocha ili simu zao ziwe na internet sasa ukisema tukupigie ndio utoe mchanganuo inakuwa sio ishu hata kidogo, let us try to minimize the cost of living, Gharama za upigaji simu TZ japo zimeshuka kwa sisi wengine bado tunaona twaendelea kuibiwa so guys mnapoleta ishu ichanganue kabisa......
Najivua Gamba mie sikupigiii