WISTON MWINUKA
Member
- Apr 29, 2012
- 81
- 4
Tumeshuhudia kipindi cha ITV dakika 45 kila juma tatu saa3 usiku. Wanahojiwa watu wenye mtazamo sawa tu!
Mawaziri wale wale wamekuwa wakijirudia na ahadi zile zile zisizo tekelezeka!
My concern:Yako wapi mawazo mbadala? Je kipindi chenye upendeleo mkubwa kama hiki kwanini kisifungiwe?
Wadau mnasema je?
yule jamaa ninapomwangalia akiwa amekoncentrate kusikiliza anavyoburuzwa, huwa napata hasira ya kuvunja tv.
Kuna hilo likipindi na lile amani yetu tbc1, la mwanamboka.
Yanatumaliziaga umeme bure tu.
Tumeshuhudia kipindi cha ITV dakika 45 kila juma tatu saa3 usiku. Wanahojiwa watu wenye mtazamo sawa tu!
Mawaziri wale wale wamekuwa wakijirudia na ahadi zile zile zisizo tekelezeka!
My concern:Yako wapi mawazo mbadala? Je kipindi chenye upendeleo mkubwa kama hiki kwanini kisifungiwe?
Wadau mnasema je?
Huyo mwendesha kipindi hana interview skills. Hajui kuuliza maswali magumu. Kazi yake ni kutabasamu na kumsaidia anayemhoji. Namwomba amwige Steven Sucker wa BBC.
Simple, huyu anatafuta ukuu wa wilaya! same like marini hassan marine, Ukuu wa wilaya mongers!!!
Hivi wewe bado unakifuatilia? mimi nilisha kisahau kumbe bado kipo?
Bado ni mbunifu pamoja na mapungufu yote yanayoonekana. Kumbuka wanahabari wa TZ wengi wao hawana background ya yale wanayoyaandikia ..mhandishi wa habari za mahakamani unaweza kukuta ni yule aliyezoea kutangaza taarabu nk..hii ni changamoto kwani vijana wetu ngawila zinawafanya wahame taaluma. Waandishi wengi wa Habari hapa kwetu waliingia kwenye fani kufuatia ugumu wa maisha wakaanza kujifunza kuandika na baadae kujisomea kidogo kidogo mpaka wengine sasa ni maarufu
Kwa ujumla kijana anajitahidi sana..anajua kuuliza maswali magumu, yuko focused na anatoa muda wa kutosha kwa anayeuliza kufafanua mada. In really akikaza buti atafika mbali sana. CNN wanamsubiria kwa hamu sana.
mkuu hawa jamaa wanaboa kishenji wa kina membe wanarudi mala 3 sasa hv hakuna wengine!