Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,295
Kumbe mnajua RA ndiye mmiliki wa Dowans,sasa kelele mnazopiga dhidi ya viongozi wa nchi zinatoka wapi wakati RA si kiongozi wa TZ?
Fuatilia hoja za wachangiaji hapa. JK ni wakala tu Rais ni RA.
Kumbe mnajua RA ndiye mmiliki wa Dowans,sasa kelele mnazopiga dhidi ya viongozi wa nchi zinatoka wapi wakati RA si kiongozi wa TZ?
mkuu wanamuogopa rakumbe mnajua ra ndiye mmiliki wa dowans,sasa kelele mnazopiga dhidi ya viongozi wa nchi zinatoka wapi wakati ra si kiongozi wa tz?
Huyo Selelii naye ni Mwongo na kizabizabina -SalvaUjumbe toka kwa Salvatory Rweyemamu kwenda kwa vyombo vya habari:
Huyu Selelii simwelewi hata kidogo kunisingizia kwamba niliwahi kumwambia mmiliki wa DOWANS ni Rostam. Kwanza huyu Selelii si rafiki yangu na hata siku moja sijawahi kukaa naye mahali popote tukiwa wenyewe wawili na kumwambia hayo anayodai nilimwambia. Mimi simjui ni nani mmiliki wa DOWANS yeyote anayetaka kufahamu nani ni mmiliki wa DOWANS aende ofisi za BRELA ataweza kupata information zinazoonyesha nani ni mmiliki wa DOWANS. Kama Selelii akiendelea kuudanganya umma basi nitamshtaki kwa Rais Kikwete ili amchukulie hatua kali sana.
Usanii mkali wa kudanganywa Watanzania ili kutuibia mabilioni yetu bado unaendelea kwa kasi kubwa. Mungu inusuru nchi yetu na mafisadi waliokubuhu.
hapana huhitaji kuambiwa.Hivi unahitaji kuambiwa na Seleli kwamba Dowans na Richmond ni kampuni hewa za Rostam ????????????????.
Uwezo Tunao, hakuna ubishi kuhusu upiganaji wa Selelii, ila kuna swali la Mzee Mwanakijiji, " WAPIGANAJI WALIOKO CCM, WANAPIGANIA NINI?Seleli siku zote ni mpambanaji bungeni kutetea maslahi ya taifa. Sote tunamjua na tunamwamini anachokisema.
Bado wako wapambanaji wengi tu hapo nje hawajaongea hadharani juu ya mafisadi na ufisadi wao nchini. Subirini kidogo, mengi yataibuka zaidi na zaidi kama hayo maelezo juu ya Salva Rweyemamu anavyomg'ata na kumpuliza JK huko ikulu.
Kumbe mnajua RA ndiye mmiliki wa Dowans,sasa kelele mnazopiga dhidi ya viongozi wa nchi zinatoka wapi wakati RA si kiongozi wa TZ?
Kumbe mnajua RA ndiye mmiliki wa Dowans,sasa kelele mnazopiga dhidi ya viongozi wa nchi zinatoka wapi wakati RA si kiongozi wa TZ?
Rostam nyi mbafu ya kyirari. Na Kiwete nyi woroe tupu!! :amen:
Ni nini kipya katika aliyoyasema Selelii?