mtz kwanini lakini unapenda kupotosha ukweli, suala peers na gharama zake za kesi unaweza kuzilinganisha na billioni zetu za umeme na maafa yake kiuchumi na hizo gharama za kesi.SteveD,
Hapana, sio kwenye makampuni tu bali hata serikali. Mfano ni hapa UK kwenye money for peerages na Blair. Kulikuwa na ushahidi lakini prosecutor akaona uwezo wa kushinda ni mdogo, akaamua kuiachia case.
Hicho ndio ninachoongelea mimi, ni tofauti na kuwaachia wahalifu ambao wamehukumiwa au kutumia pesa nyingi kumhukumu na kumfunga mhalifu. Kama unaona uwezo wa kumfunga ni mdogo, ni bora kutumia hizo pesa kwenye mambo ya maana.
Kama tumekubali suala la akina RA mwamuzi ni JK, ifike mahali tumwachie yeye na sisi wananchi tutoe hukumu yetu 2010.
Mtanzania,
Kwanza samahani maanake niseme ukweli kwamba maandiko yako mengi sana yamekaa ki CCM sana na mara nyingi umekuwa against hizi kuhudi za kuendelea kuwaumbua hawa mafisadi. I can only ask - What's UP!
Mkuu hoja ni UFISADI, na haiwezi hoja hii kutupwa kapuni pasipo kuwashughulikia mafisadi. Nitazidi kusema Mapinduzi yoyote huanza na wananchi ambao wako tayari kuzungumzia uovu huo mbele ya sheria inayokataza ama kupuuza juhudi hizo. Lowassa na Rostam ni baadhi ya wahusika na kwa sababu wao ni wana CCM, chama kinachoongoza ni lazima mkazo wetu ubakie ktk target hiyo. Wengine wote ni wafuasi tu ambao wamekubali hali halisi kama vile kule South kuna weusi waliojiunga na jeshi la Kaburu na kufanya hata mauaji. Mkazo wa ANC ulikuwa kukiondoa chama tawala madarakani na hapo ndipo wewe unapoingiza upinzani ktk fikra zangu..
Inanisha mshangao sana unapokazania YAISHE! hii lugha ni ya kukata tamaa ambao haitakiwa kwa mpiganaji na nikutokana na hofu hiyo ndio maana mnawapa chat wapiganaji 11. Binafsi sioni sababu kwa nini isiwe wapiganaji millioni ukiwa nawe upande wao.
SteveD,
Kama tumekubali suala la akina RA mwamuzi ni JK, ifike mahali tumwachie yeye na sisi wananchi tutoe hukumu yetu 2010.
Mtanzania,
Kwanza samahani maanake niseme ukweli kwamba maandiko yako mengi sana yamekaa ki CCM sana na mara nyingi umekuwa against hizi kuhudi za kuendelea kuwaumbua hawa mafisadi. I can only ask - What's UP!
Mkuu hoja ni UFISADI, na haiwezi hoja hii kutupwa kapuni pasipo kuwashughulikia mafisadi. Nitazidi kusema Mapinduzi yoyote huanza na wananchi ambao wako tayari kuzungumzia uovu huo mbele ya sheria inayokataza ama kupuuza juhudi hizo. Lowassa na Rostam ni baadhi ya wahusika na kwa sababu wao ni wana CCM, chama kinachoongoza ni lazima mkazo wetu ubakie ktk target hiyo. Wengine wote ni wafuasi tu ambao wamekubali hali halisi kama vile kule South kuna weusi waliojiunga na jeshi la Kaburu na kufanya hata mauaji. Mkazo wa ANC ulikuwa kukiondoa chama tawala madarakani na hapo ndipo wewe unapoingiza upinzani ktk fikra zangu..
Inanisha mshangao sana unapokazania YAISHE! hii lugha ni ya kukata tamaa ambao haitakiwa kwa mpiganaji na nikutokana na hofu hiyo ndio maana mnawapa chat wapiganaji 11. Binafsi sioni sababu kwa nini isiwe wapiganaji millioni ukiwa nawe upande wao.
August,mtz kwanini lakini unapenda kupotosha ukweli, suala peers na gharama zake za kesi unaweza kuzilinganisha na billioni zetu za umeme na maafa yake kiuchumi na hizo gharama za kesi.
Hili la peerage ukililinganisha na suala la Posho mara mbili nitakuelewa, lakini sio hili la Richmond na Mikataba mingine inayo hushusiana na Hii au uhujumu uchumi tena wa taifa changa kama tanzania.
haya mahesabu ya u-engineer yatakuwa questionable sasa, labda ikiwa hizo hesabu zimeingiliana na siasa.
Kwa hiyo nayo unafikiri tusonge mbele!.. tatizo langu kwako ni huo msemo wa tusonge mbele wakati nchi inaliwa mbele na nyuma. when are we going to say enough is enough!..Hayo ya mawazo ya KICCM naona ni vijembe vya kisiasa. Hapo juzi nilipinga posho mbili mbili au nayo ni mawazo ya KICCM
samahani kama nimechanganya, lakini haya maneno hapo juu au nilio quote yameandikwa na nani na yana maana gani katika hii thread?SteveD,
Hapana, sio kwenye makampuni tu bali hata serikali. Mfano ni hapa UK kwenye money for peerages na Blair. Kulikuwa na ushahidi lakini prosecutor akaona uwezo wa kushinda ni mdogo, akaamua kuiachia case.
Hicho ndio ninachoongelea mimi, ni tofauti na kuwaachia wahalifu ambao wamehukumiwa au kutumia pesa nyingi kumhukumu na kumfunga mhalifu. Kama unaona uwezo wa kumfunga ni mdogo, ni bora kutumia hizo pesa kwenye mambo ya maana.
Kama tumekubali suala la akina RA mwamuzi ni JK, ifike mahali tumwachie yeye na sisi wananchi tutoe hukumu yetu 2010.
Tumeona ya akina Chiluba dola $13m kutumika kufukuzia case ya laki tano. Nikipewa chaguo, nitazitumia hizo $13m kujenga shule au hospitali kuliko kumfukuzia mtu mmoja ambaye hata sina uhakika wa kumfunga.
samahani kama nimechanganya, lakini haya maneno hapo juu au nilio quote yameandikwa na nani na yana maana gani katika hii thread?
Je, una uhakika kwamba katika hizo $13 millioni hazikubambikwa pesa chungu nzima za kifisadi!? Hebu tupe breakdown ya hizo $13 millioni zilivyotumika ili tuone kama matumizi yote yalikuwa ni ya halali. Kesi ya OJ ambayo ilichukua muda mrefu na ilikuwa na wanasheria wengi kuliko kesi ya Chiluba gharama za kesi hizo hazikufika $13 millioni. Sasa hii kesi ya Chiluba na gharama kubwa hizo hujiulizi kulikoni!? Umewekewa hapo $13 millioni basi umeamini uhalali wa gharama hizo bila hata kuhoji.
Kwa maana nyingine wewe unaona wavunja sheria waendelee tu kupeta mtaani kwa sababu kuwafungulia mashtaka Serikali itaingia gharama kubwa kuliko kile walichokivunjia sheria! Na hapo unataka kuwa Mbunge 2010 wakati hata kutetea utawala wa sheria bora unashindwa kufanya hivyo!
Kwa kukumbusha tu kwenye ufisadi unaowahusu hao wapambe wako Lowassa na papa fisadi Rostam tunazungumzia $212 millioni ($172 milliono za Richmond na $40 millini za Kagoda)
Kwa kukumbusha tu kwenye ufisadi unaowahusu hao wapambe wako Lowassa na papa fisadi Rostam tunazungumzia $212 millioni ($172 milliono za Richmond na $40 millini za Kagoda)
samahani kama nimechanganya, lakini haya maneno hapo juu au nilio quote yameandikwa na nani na yana maana gani katika hii thread?
Kwa maana nyingine wewe unaona wavunja sheria waendelee tu kupeta mtaani kwa sababu kuwafungulia mashtaka Serikali itaingia gharama kubwa kuliko kile walichokivunjia sheria! Na hapo unataka kuwa Mbunge 2010 wakati hata kutetea utawala wa sheria bora unashindwa kufanya hivyo!
Demokrasia ina gharama zake na pia heshima kwa sheria pia ina gharama zake, bora kugahramia sheria kwa gharama yoyote ile kuliko kuacha kabisa hata kama ni dola $ Millioni 100 zitumike tu as long as matokeo ni msingi wa uongozi na sheria kwa taifa la mbele
- He! he! he! jamani Demokrasia ina gharama zake na pia heshima kwa sheria pia ina gharama zake, bora kugahramia sheria kwa gharama yoyote ile kuliko kuacha kabisa hata kama ni dola $ Millioni 100 zitumike tu as long as matokeo ni msingi wa uongozi na sheria kwa taifa la mbele, kwenye hili kusiwe na mjadala wala compromise!
Respect.
FMEs!
Sera ya CCM kwa muda mrefu sasa imekuwa ni kulindana. Kama sio kulindana tusingekuwa na ubabaisha kwenye hili suala la Richmond mpaka leo. Rostam, Lowassa na Kikwete walikuwa kitu kimoja kwenye uchaguzi wa 2005.
Urafiki wao haukuanzia barabarani kama Lowassa alivyosema. Wana siri zao. Wanalindana. Ukimwangusha mmoja naye anaweza kuwaangusha wenzake. Hivyo wataendelea kulindana.
Kamati ya Mwakyembe ililmpibu JK, JK amekula pozi. Anavuta subira mpaka 2010 ipite, hapo ndipo JK atakapoweza kuamua urafiki wao ufe. Until then itakuwa ni ngonjera tuu.
Bunge ndicho chombo cha kutunga sheria. Kama wanaona rais anazembea katika kuchukua hatua wangeenda a step further. Lakini bunge letu linajali zaidi maslahi ya chama kuliko maslahi ya taifa
. Wanaendeleza sera za kulindana. Mduara unaendelea. Wapiganaji nao wanawaandama mafisadi lakini kwa sababu za kulinda maslahi yao wanamsifu fisadi mkuu, JK. Unafiki.
Kamwe hatutaweza kushinda vita dhidi ya mafisadi kama hii vita haitapata support kutoka juu, kwa rais mwenyewe. Na rais huyo anatakiwa awe msafi, asiwe na mikono yenye damu ya ufisadi. Kwa sasa mikono ya JK imechafuka. Hivyo kuanzia sasa hadi uchaguzi wa 2010 kutakuwa hamna progress yoyote ya maana katika vita hii ya ufisadi.
Sanasana kutakuwa na majeruhi katika vita vya kujipanga kugombania ubunge, ufisadi ukitumiwa kama silaha mojawapo.
.
Masa na BAK,
Mko sawa kabisa. Ila wakati mwingine tuwe tunaangalia ukweli na hali halisi.
Naombeni jina la RAIS mmoja duniani aliyeondolewa kwa njia ya Demokrasia na ameishia JELA. Jina moja wandugu zangu mnikumbushe. Hata Kenya hapo, walishtakiwa hadi watoto wa Moi, yeye anapeta tu hadi kesho.
Mkandara,
Hakuna ubaya sisi wananchi kujadili ufisadi kwenye vijiwe vyetu; mimi tatizo langu ni hao ambao wanatumia mapesa ya wananchi kujadili jambo moja miaka mitatu. Bunge lifike mahali kama halina uwezo wa kuwawajibisha hao watuhumiwa basi wasonge mbele na mambo mengine ya nchi.