JF inaharibiwa na watu kama huyuPunguza kiherehere kwani unaharakia nini????
Unataka utajiwe kabisa siku,tarehe na saa..!?Yap but kwa nda gan?
kama wiki mbiliYap but kwa nda gan?
Haitafika week mbili mkuu kwa sababu tangazo limetoka kwamba wale watakaokosa round ya kwanza wataanza kuapply tarehe 12 mwezi wa nane source www.tcu.go.tzkama wiki mbili
umeanza vzr ila mwisho umekuwa mbayaHaitafika week mbili mkuu kwa sababu tangazo limetoka kwamba wale watakaokosa round ya kwanza wataanza kuapply tarehe 12 mwezi wa nane source www.tcu.go.tz
Kwanini mkuu hembu nieleweshe basiumeanza vzr ila mwisho umekuwa mbaya
Kwa mujibu wa tcu first round itatoka kabla ya sept 12 ili kuruhusu 2nd round kuanza tarehe hiyo.SIJUI UMENIELEWA! IZI CONCEPTS!Hujakosea mkuu mwaka huu applicants n wachache ukilinganisha na mwaka jana.
Lakn pia tatzo lipo kwa tcu wangetoa mda maalum ambao utawawezesha wadau weng kua tayar juu ya jambo hilo.
Kulko hiv sasa kulvyokua na ukakas, nakubaliana na wewe juu ya kiachiwa baada ya wik chache lakn huyu wa baada ya cku tano ananipa was was.
Mwez wa nane au wa tisaHaitafika week mbili mkuu kwa sababu tangazo limetoka kwamba wale watakaokosa round ya kwanza wataanza kuapply tarehe 12 mwezi wa nane source www.tcu.go.tz
Kweli mkuu shukrani kwa kunirekebishaMwez wa nane au wa tisa
ww hyo second round inapokuja kuna uwezekano wa nyie kutoona sehemu mliopangiwa bt unafahamishwa kuwa umechaguliwa alafu wakimaliza kudahili wa second round ndio wanatoa kwa pamoja kwa hesabu za haraka itakuwa zaidi ya wiki mbiliHaitafika week mbili mkuu kwa sababu tangazo limetoka kwamba wale watakaokosa round ya kwanza wataanza kuapply tarehe 12 mwezi wa nane source www.tcu.go.tz
Jaman kuulza si ujinga hivi TCU wakishafunga dirisha lao huchukua muda gani kuja kutoa majina ya waliopata chuo kwa round ya kwanza...mwenye mawazo au uzoefu!