Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

hamna chochote hapo walikua wanasema hivyo lakini sio lazima ila wenye akaunti za exim ndio watakaowahishiwa hela zao nyie wengine zitakuja wiki 1 baada ya wenzenu wa exim kupata bum. Ila ngoja wahusika wa st joseph waje hizo ni taarifa za awali nnazozijua labda watakupa utaratibu zaidi
Ahsante mkuu tuendelee kuwasikia na wadau wengine
 
Itakuwa vizuri kama tutafahamishana taarifa mbalimbali,kwa mfano mimi nataka kujua zile joining instructions wameshaanza kuzituma kwa wanafunzi waliochaguliwa?au unadownload tu mtandaoni,maana nataka kuitumia kuomba release letter hapa kazini.


wanazitumaga haraka sana , kama una uharaka nikutumie namba ya muhusika mmoja umchek??
 
sio kweli mm nilifundisha pale miaka mitatu nyuma labda zoezi ilo lianze mwaka huu
 
Hey kwa wale wenye uelewa wa wap Joining instructions za chuo kikuu Ardhi znapatkana tujuzane tafadhal.....
 
mm mwenyewe nimesoma iyo kitu sina ajira mpaka leo huu mwaka wa 6 nipo tu home

I told you on the other post' the way you're writing shows how illiterate you are. Mind your own business! Someone has just asked an important question and you want to mislead him😕...
I doubt whether you have another work to do rather than chatting and cheating on people's posts.
This is education forum,we need replies from educated people ! And if you think you're smart then do other businesses, this forum is not for people like you.🙅
 
Back
Top Bottom