Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,894
- 1,485
kumbuka kinaitwa chuo cha USHIRIKA bt hakuna ushirika kwenye mitihani. ukileta uzembe utaliwa tuu maana hakuna namna nyingine coz hiyo ndo SUA ndogo aseee
una **** mkemia, unaweza kufanya kazi kwenye viwanda kama mkemia, hata serikalini kama ulishawasikia mkemia mkuu wa serikali, ndo hyo kitu
Aliechaguliwa coz hii atarajie nini?
Msaada tafadhal,,,, if you know!
mm mwenyewe nimesoma iyo kitu sina ajira mpaka leo huu mwaka wa 6 nipo tu home
Pia unaweza kuajiliwa kwenye mabara za serikali, viwandani, tfd, mkemia mkuu