Selection UDSM Kunani, NACTE hawajui?

Selection UDSM Kunani, NACTE hawajui?

integral sign

Senior Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
160
Reaction score
13
Waliochaguliwa na Nacte kwenda udsm halafu bado wanasema tusubiri confirmation kutoka chuo wana maana gani? Hapo hapo ukiingia website ya chuo, wapo silent kutoa majina na opening date in 31-10 hii imekaaje? Msaada kwa wale mlioulizia NACTE kuhusu hilo. Mi nipo mkoa
 
Waliochaguliwa na Nacte kwenda udsm halafu bado wanasema tusubiri confirmation kutoka chuo wana maana gani? Hapo hapo ukiingia website ya chuo, wapo silent kutoa majina na opening date in 31-10 hii imekaaje? Msaada kwa wale mlioulizia NACTE kuhusu hilo. Mi nipo mkoa

Mkuu in short kuna majina yamekwa rejected from udsm na wameyarudisha nacte...may be wewe mwenzangu ulichaguliwa provissionaly kwa kozi ipi?...mie nilikwa udsm via nacte jana!!
 
Angalia majina vizuri,mimi nimeandikiwa nasubiri Confirmation lakini jina lipo kwenye orodha UDSM
 
Daah, nimepata Bsc. In Quantity Surveying. Sasa kwa nini hawasemi tuchague kwingine?
 
Mkuu in short kuna majina yamekwa rejected from udsm na wameyarudisha nacte...may be wewe mwenzangu ulichaguliwa provissionaly kwa kozi ipi?...mie nilikwa udsm via nacte jana!!

Mkuu hapo naona kama vile nishachanganyikiwa. Inawezekana kweli? Kwani zile nafasi zilikua za uongo nn? Kwa iyo hayo majina unaonaje?
 
Mkuu hapo naona kama vile nishachanganyikiwa. Inawezekana kweli? Kwani zile nafasi zilikua za uongo nn? Kwa iyo hayo majina unaonaje?

Udsm wamerudisha majina kwa baadhi ya kozi pale nacte....ukienda wanakuonyesha(jamaa wapo transparent sana2 wanakueleza kila ki2)
 
Hii nchi asee,hivi inakuwaje nacte wakuselect then chuo wanakureject?!Nani aliyejuu ya mwenzake kati ya hizo taasisi mbili?
Je, nacte wamechagua bila kuzingatia vigezo vya chuo husika ama?Lakini kingine wanakureject sasa hivi wakati vyuo vingi vimejaa inakuwaje?
 
Hii nchi asee,hivi inakuwaje nacte wakuselect then chuo wanakureject?!Nani aliyejuu ya mwenzake kati ya hizo taasisi mbili?
Je, nacte wamechagua bila kuzingatia vigezo vya chuo husika ama?Lakini kingine wanakureject sasa hivi wakati vyuo vingi vimejaa inakuwaje?

Yaan majanga mkuu....maana sifa za kujiunga na vyuo vikuu vnaandaliwa na Nacte & Tcu na hizi zote n taasis za serikali....so m na wewe hatuwez jua kilichopo nyuma ya pazia!!
 
Hii nchi asee,hivi inakuwaje nacte wakuselect then chuo wanakureject?!Nani aliyejuu ya mwenzake kati ya hizo taasisi mbili?
Je, nacte wamechagua bila kuzingatia vigezo vya chuo husika ama?Lakini kingine wanakureject sasa hivi wakati vyuo vingi vimejaa inakuwaje?

udsm ni taasis inayojitegemea kuna viwango vyao wamejiwekea hata nacte wakikupeleka wao wakion unapwaya hawakuchukui,jaribu vyuo vya kata huko huwez kukosa
 
udsm ni taasis inayojitegemea kuna viwango vyao wamejiwekea hata nacte wakikupeleka wao wakion unapwaya hawakuchukui,jaribu vyuo vya kata huko huwez kukosa

Kuwa muelewa,sijakwambia mimi nimeapply kuna kipindi utakiwa uangalie vijana wenzako wanavyoteseka
 
Udsm wamerudisha majina kwa baadhi ya kozi pale nacte....ukienda wanakuonyesha(jamaa wapo transparent sana2 wanakueleza kila ki2)

So what next kwa hao ambao wamekuwa rejected?!watapangiwa vyuo vingne ama watasubiri mwakani?
 
Kuwa muelewa,sijakwambia mimi nimeapply kuna kipindi utakiwa uangalie vijana wenzako wanavyoteseka

hakuna sehem nilpokwmbia ww umeomba!
kuteseka kwao hakuondoi ukweli wa jambo
ukweli usiufanye uadui;wala ukweli usiuweke uvunguni,wambie hivi udsm ni taasisi inayojitegemea nxt tm wajaribu vyuo vya kata huko hawawez kosa
 
Back
Top Bottom