Selection UDSM 2014/2015

Selection UDSM 2014/2015

Naomba Kuangaliziwa Hii Namba Wakuu {S0380/0059/2011} Samahni Kwa Usumbfu.
 
Kama umechagulia UDSM main campus....kwa mvulana.....nicheki mdogo wangu...mi ni mwaka wa tatu BAED....linguistics na literature.....0753312807....tuone tunafanyaje...asante

hivi watu wa Baed kwanini mnakuwaga hivo????....yaani mwaka wa tatu mzima pasi aibu unataka kubebwa...acha ujinga bna....woga wa maisha huo
 
wakubwa wasomi mnaotudharau tusokua wasomi wa juu ila mnaomba msaidiwe na sisi naombeni niwaambie kwa sasa nimechoka nahitaji kipumzika. tutaonana kesho kukiwa na balaa jingine.
 
wakubwa wasomi mnaotudharau tusokua wasomi wa juu ila mnaomba msaidiwe na sisi naombeni niwaambie kwa sasa nimechoka nahitaji kipumzika. tutaonana kesho kukiwa na balaa jingine.

umefanya kaz kubwa, ubarikiwe
 
Inaonekana TCU safari hii haitaachia majina ya jumla na badala yake wanaachia vyuo kwanza(ni mtazamo wangu tu). Tayari Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wametoa majina ya wanafunzi ambaa wamechaguliwa kujiunga na chuo hicho. Tarehe ya kuripoti ni 11 October.
 
Back
Top Bottom