Senorita23
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 390
- 489
Hv single selectn wanatoa xngp?
m mwenyewe hats c elew yan wanazngua knomaHv single selectn wanatoa xngp?
Nlesikia kesho ko tusubir hyo single ndo kama haupo uanze kuombam mwenyewe hats c elew yan wanazngua knoma
Wanatutesa sana daaam mwenyewe nmeomba chuo kmoja laf kwenye account bado cjajibiwa 3round mwsho j5 yan dah cjui nfenyeje
kama ushapata chuo tuliza kungu bac mbon unakiherehereYaani mnavyoandika hapa daah hadi kichefuchefu
Kwa level mlizofikia za kwenda Chuo jitahidini kuandika vizuri mmekua sasakama ushapata chuo tuliza kungu bac mbon unakiherehere
Yaani kukurekebisha ndo unaandika haya nilidhani nimekurekebisha kwa ustaarabu. I am very sorry I have hurt your feeling to correct you. Ume apply kozi gani huko vyuoni?Sasa ww unafikir kwa ngel unaeza nikuta hata robo yan hapo n kwamba nilkuwa kwenye hali ya kuchoka sana niltype hvo ila nkajua wa kujiongeza ataelewa sasa ww ndo unajidai kijua ngel
Yaani kukurekebisha ndo unaandika haya nilidhani nimekurekebisha kwa ustaarabu. I am very sorry I have hurt your feeling to correct you. Ume apply kozi gani huko vyuoni?
Vijana mna matatizo sana yaani nyie ndio mnaenda Chuo ili baadae mje kuijenga nchi daah!! Haya kila la heri!!We we tuliza papa kama hujaelewa pta hv so lazima ucomment **** u
Nilikuwa nataka nitoe msaada hapo ndiyo maana nikauliza ka apply chuo gani tuanze kumshauri pia.Sidhani kama ni nafasi ya kurumbana hapa cha msingi ni kuwatia moyo wanafunzi/vijana wetu wajue hatima yao watafanyaje kupata nafasi za kusoma vyuo maaana serikali inawachanganya walipo wanashindwa cha kufanya
JF haipo kama nilivotarajiaVijana mna matatizo sana yaani nyie ndio mnaenda Chuo ili baadae mje kuijenga nchi daah!! Haya kila la heri!!
Na hawa ndio wadogo zetu ambao tunatarajii baadae tuwaachie majukumu ya kuijenge nchi lkn mambo yao ndio kama haya,yaani wao kumaliza form six ni ishu sana lakini wengine tushamaliza miaka mingi mpaka Chuo chenyewe mpaka tulishasahau hata tulisoma mwaka ganiJF haipo kama nilivotarajia
Humu kumejaa matusi ya kila namna
Mkuu upo sahihiNa hawa ndio wadogo zetu ambao tunatarajii baadae tuwaachie majukumu ya kuijenge nchi lkn mambo yao ndio kama haya,yaani wao kumaliza form six ni ishu sana lakini wengine tushamaliza miaka mingi mpaka Chuo chenyewe mpaka tulishasahau hata tulisoma mwaka gani