Mpaka Septemb na masomo yanaanza January 2014.Kwanza reg. ya mtihn wa sx ni hadi Aug 30.
Mpaka Septemb na masomo yanaanza January 2014.Kwanza reg. ya mtihn wa sx ni hadi Aug 30.
Aisee kama kukaa nyumbani tushachoka! toka mwezi wa 10 tupo nyumbani! kwann wasizitoe hizo post?[/QUOT
wanataka watupeleke jeshini kwanza.
Zikitoka znaanikwa kwenye website?
Ya NECTA au Wizara ya Elimu?
Nauliza hivi bcoz niko nje ya nchi hadi September na nina kidbrother kwa sasa yuko bush country anasubir selection kama atapata.
Asanteni kwa ushirikiano.