Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Naona aliyekuwa Mgombea Ubunge kupitia Kura ya maoni CCM na baadae akateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kishapu Bwana Stephen Morimi Magoiga ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Kwa tafsiri pana ni kuwa kada wa CCM ameteuliwa kuwa Jaji.
Question everything, Doubt everyone? (Uhuru wa mahakama unazidi kuingiliwa. Sijui tunajenga Taifa la aina gani. Inasemekana hata ndugu wako ktk uteuzi huo kibao. Si wangeweza kupewa upendeleo wa namna nyingine tofauti na kupelekwa kwenye taasisi hii nyeti inayohitaji watumishi wake kutokuwa na egemeo upande wowote?)
Kwa tafsiri pana ni kuwa kada wa CCM ameteuliwa kuwa Jaji.
Question everything, Doubt everyone? (Uhuru wa mahakama unazidi kuingiliwa. Sijui tunajenga Taifa la aina gani. Inasemekana hata ndugu wako ktk uteuzi huo kibao. Si wangeweza kupewa upendeleo wa namna nyingine tofauti na kupelekwa kwenye taasisi hii nyeti inayohitaji watumishi wake kutokuwa na egemeo upande wowote?)