Sekta ya Afya imeimarika sana awamu hii

AUGUSTINO CHIWINGA

JF-Expert Member
Apr 23, 2017
220
689
Augustino Chiwinga
Mtama-Lindi.
0659438889

Nimepata bahati ya kutembelea katika Hospitali kadhaa za umma hapa nchini.Kiukweli mabadiliko.niliyoyakuta huko ni makubwa kuanzia kwenye miundombinu kwa maaana ya majengo, madawa , vifaa tiba pamoja na gharama za chini za matibabu.

Nadiriki kusema Watanzania wapo salama na wana uhakika wa kupata matibabu kwa haraka. Kwanza kupitia mfumo wa matibabu ya kuchangia ( Cost Sharing ) ilinilazimu kutumia shilingi elfu mbili tu (2,000) kufungua file, kumuona Daktari,vipimo na kupata dawa zote nilizoandikiwa mpaka nikaona ni miujiza na nikajiuliza maswali labda huenda nipo nje ya nchi na si Tanzania.

Nikawadadisi baadhi ya wagonjwa ili kujua kama huduma hizi zinatolewa kila siku nao wakaniambia kwamba tangu Rais Magufuli aingie madarakani mambo yamebadilika na wao kama wananchi wanyonge wa hali ya chini wanaotegemea Hospitali za umma kupata matibabu wanashukuru sana kwa mabadiliko haya makubwa.

Kwa haya niliyoyashuhudia niseme nini zaidi ya kumshukuru Rais Magufuli kwa kuongeza Bajeti ya Afya mpaka Bilioni 270. Sasa hivi katika vituo vya afya nchi nzima Serikali inapanua miundombinu kwa kujenga wodi mpya na theatre kwa ajili ya operation ndogo ndogo zikiwemo za uzazi.Bila kusahau jumla ya Halmashauri 68 Tanzania nzima zimepewa shilingi Bilion 1.5 kwa ajili ya kujenga Hospitali kubwa za kisasa za Wilaya.

Serikali ya Magufuli imedhamiria kuifanya Tanzania kama Ulaya hakika inawezekana ,hakika Rais Magufuli ni kiongozi makini.

Rais Magufuli tutakukumbuka!

Augustino Chiwinga
Mtama-Lindi.
0659438889
 
Mmh kufungua file 2000 na hyo hyo kumuona Dr? Hapana s kweli,hosp ya mkoa mfano mby n 8000 kufungua file. Kituo cha afya 5000.Zahanati 3000 so wee ni hospital gan hyo wanachaji 2000?
 
Tumeishajua hii kampeni ya kusifia ni kubwa, kila kona ya nchi mmewekwa na mnalipwa, vizuri ila kwawananchibwa kawaida maisha ndani ya utawala huu yamekuwa jehanam
 
Kipimo cha kuimarika kwa secta ya afya ni pamoja na kupungua kwa vifo vya mama na mtoto, kupungua kwa utapiamlo, Doctor/Nurse patient ratio kuendana na mahitaji. Hayo ni machache tu na katika hayo serikali hii na zililopita zimefeli.
Sidhani kuna mtaalamu wa afya anaweza kukuunga mkono mtoa mada
 
Kipimo cha kuimarika kwa secta ya afya ni pamoja na kupungua kwa vifo vya mama na mtoto, kupungua kwa utapiamlo, Doctor/Nurse patient ratio kuendana na mahitaji. Hayo ni machache tu na katika hayo serikali hii na zililopita zimefeli.
Sidhani kuna mtaalamu wa afya anaweza kukuunga mkono mtoa mada


Ndio kwanza vinaoengeza
 
Augustino Chiwinga
Mtama-Lindi.
0659438889

Nimepata bahati ya kutembelea katika Hospitali kadhaa za umma hapa nchini.Kiukweli mabadiliko.niliyoyakuta huko ni makubwa kuanzia kwenye miundombinu kwa maaana ya majengo, madawa , vifaa tiba pamoja na gharama za chini za matibabu.

Nadiriki kusema Watanzania wapo salama na wana uhakika wa kupata matibabu kwa haraka. Kwanza kupitia mfumo wa matibabu ya kuchangia ( Cost Sharing ) ilinilazimu kutumia shilingi elfu mbili tu (2,000) kufungua file, kumuona Daktari,vipimo na kupata dawa zote nilizoandikiwa mpaka nikaona ni miujiza na nikajiuliza maswali labda huenda nipo nje ya nchi na si Tanzania.

Nikawadadisi baadhi ya wagonjwa ili kujua kama huduma hizi zinatolewa kila siku nao wakaniambia kwamba tangu Rais Magufuli aingie madarakani mambo yamebadilika na wao kama wananchi wanyonge wa hali ya chini wanaotegemea Hospitali za umma kupata matibabu wanashukuru sana kwa mabadiliko haya makubwa.

Kwa haya niliyoyashuhudia niseme nini zaidi ya kumshukuru Rais Magufuli kwa kuongeza Bajeti ya Afya mpaka Bilioni 270. Sasa hivi katika vituo vya afya nchi nzima Serikali inapanua miundombinu kwa kujenga wodi mpya na theatre kwa ajili ya operation ndogo ndogo zikiwemo za uzazi.Bila kusahau jumla ya Halmashauri 68 Tanzania nzima zimepewa shilingi Bilion 1.5 kwa ajili ya kujenga Hospitali kubwa za kisasa za Wilaya.

Serikali ya Magufuli imedhamiria kuifanya Tanzania kama Ulaya hakika inawezekana ,hakika Rais Magufuli ni kiongozi makini.

Rais Magufuli tutakukumbuka!

Augustino Chiwinga
Mtama-Lindi.
0659438889
Watu wanakufa, watu wanakosa dawa, uhaba wa magari ya ambulance na ukosefu wa madakitari. Sasa utasemaje sekta hiyo inakua??
 
Sekta ya Afya,Elimu,ziko kwenye dripu Sema Kilimo ndio kidogo mambo sio mabaya.
 



This is her idea of health promotion to fight self caused diseases pandemic

Huyu alifaa apewe nafasi huko kwenye bohari la madawa tena sio za juu ndio kitu anachoongelea kila siku madawa tu lakini afya kwa tafsiri yake kamili ya WHO na changamoto zake hiyo wizara inataka mtu makini kweli.

Kwa satandard zetu tunaweza tusione tatizo kwa mambo yanavyofanyika lakini kiuhalisia kuna sehemu nyingi zingeweza imarika bila ya financial investment just as a policy measure.

Huyu mwanamke bomu kweli kweli nyumba za kulea watoto waliotelekezwa kila siku zinaongezeka udhani kama anaweza kuja na walau intervetnion plan za awali kupunguza hizi changamoto.
 
Ulipewa dawa gani? - usikute ulipewa aspirin
ulifanya vipimo gani?- usikute ulipimwa jotoridi kwa kutumia thermometer
ulikwenda hospitali gani? - usikute ulikwenda dispensary ya kata

UTAFITI HUWA HAUFANYWI KWA OBSERVATION MOJA, HIYO INAITWA GENERALIZATION!!!!
 
Augustino Chiwinga
Mtama-Lindi.
0659438889

Nimepata bahati ya kutembelea katika Hospitali kadhaa za umma hapa nchini.Kiukweli mabadiliko.niliyoyakuta huko ni makubwa kuanzia kwenye miundombinu kwa maaana ya majengo, madawa , vifaa tiba pamoja na gharama za chini za matibabu.

Nadiriki kusema Watanzania wapo salama na wana uhakika wa kupata matibabu kwa haraka. Kwanza kupitia mfumo wa matibabu ya kuchangia ( Cost Sharing ) ilinilazimu kutumia shilingi elfu mbili tu (2,000) kufungua file, kumuona Daktari,vipimo na kupata dawa zote nilizoandikiwa mpaka nikaona ni miujiza na nikajiuliza maswali labda huenda nipo nje ya nchi na si Tanzania.

Nikawadadisi baadhi ya wagonjwa ili kujua kama huduma hizi zinatolewa kila siku nao wakaniambia kwamba tangu Rais Magufuli aingie madarakani mambo yamebadilika na wao kama wananchi wanyonge wa hali ya chini wanaotegemea Hospitali za umma kupata matibabu wanashukuru sana kwa mabadiliko haya makubwa.

Kwa haya niliyoyashuhudia niseme nini zaidi ya kumshukuru Rais Magufuli kwa kuongeza Bajeti ya Afya mpaka Bilioni 270. Sasa hivi katika vituo vya afya nchi nzima Serikali inapanua miundombinu kwa kujenga wodi mpya na theatre kwa ajili ya operation ndogo ndogo zikiwemo za uzazi.Bila kusahau jumla ya Halmashauri 68 Tanzania nzima zimepewa shilingi Bilion 1.5 kwa ajili ya kujenga Hospitali kubwa za kisasa za Wilaya.

Serikali ya Magufuli imedhamiria kuifanya Tanzania kama Ulaya hakika inawezekana ,hakika Rais Magufuli ni kiongozi makini.

Rais Magufuli tutakukumbuka!

Augustino Chiwinga
Mtama-Lindi.
0659438889
Mkuu hizo taarifa zako si ungeziweka na kwenye heading? Hivi kwa uzembe huu ukikosa uteuzi utamlaumu nani?
 
Tafuta thread yangu nimeandika Condoms zaadimika nchini, Nimetembea kona nyingi Sana za hii nchi, nimesimamia Miradi ya afya, Kama sio USAID, Global Fund, Koica basi Hali ingekua mbaya zaidi, Hakuna cha serikali wala mama serikali
 
Mmh kufungua file 2000 na hyo hyo kumuona Dr? Hapana s kweli,hosp ya mkoa mfano mby n 8000 kufungua file. Kituo cha afya 5000.Zahanati 3000 so wee ni hospital gan hyo wanachaji 2000?
Huku kwetu Chalinze ni buku tu.
Ila Kuna baadhi ya dawa itabidi ukanunue kwenye duka la madawa.
 
dada ungefika na huku nyanda za juu kusini vijijini uone hali ilivyo !
kinyesi hakisafiki ila endeleeni kukiosha kitapungua uvundo
ila kitaendelea kuwa kinyesi
 
Mnafki mkubwa ww..kufungua file tmk shilingi 4000(unapewa na kadi ya crdb ni lazima) vipimo unalipia inategemea unapima nn ni mwendo wa ela tyu
 
Huu upumbavu hua mnaandika kwa sababu gani.. hivi nyie watu mnaishi nje ya uhalisia wa watanzania? Wapi kufungua file 2000? Na hizo billion 1.5 Kila wilaya ni hospital ngap zimejengwa mpaka Leo wakat ni mwaka wa tatu wa awamu hii? Hivi huu upumbavu wa kusifia sifia ni kwa ajili ya Nan? Si Bora mkae kimya tu
 
Acha kufanya conclusion kwa sample chache, mzee wangu amelazwa hospital ya mkoa wa Kagera ambayo leo inaitwa ya rufaa, wiki moja sasa hata hatujui anaumwa nini, ukiuliza jamani mbona mnaandika dawa tunaenda kununua lakini hatujui anaumwa nini wanaita askari kukufukuza eti mkorofi.
Imefikia hatua watu wanakimbizia wagonjwa wao hodpitali zingine kama Mugana na Ndolage.
Kwa hiyo don't make conclusion based on few samples.
 
Mleta hoja ni muongo tena uongo wake ni wa kufungia mwaka! Nipo kwenye hiyo sekta kwa shughuli za kufanya counselling kwa wagonjwa mbalimbali na hapa opd bei zake ni shs 8000/= kwani ni hosptali ya rufaa na hata kwenye zahanati bei ya faili ni sh 3000/= nje ya dawa utakazoandikiwa! Yeye kapata wapi hizi taarifa za kifedhuli?
Watu wanataabika kitaa kwa kukosa hiyo sh3000/= za kufungua faili halafu analeta mzaha wake wa kijinga! Nilikuheshimu lakini kwa uongo huu waambie ccm wenzako! Hata watu wenye bima wanaambiwa dawa hakuna wakanunue. Sijui nalo unalisemeaje ndani ya hiyo buku mbili yako ya uongo? Mtu mzima hovyo kabisa!
 
Back
Top Bottom