Jamani ebu tupeane mawazo kuhusu hawa jamaa wa
PSRS:
Tarehe 28 mwezi uliopita (Novemba) wameita watu kazini kwenye kada mbali mbali kama MEO,VEO,WEO na zingine nyingi.
Katika tangazo la kuita watu kazini Katibu wa chombo hicho aliandika hivi: "Aidha barua za kuitwa kazini zimetumwa kupitia kwenye anwani zao"
Lakini cha Kushangaza ni kwamba mpaka leo tarehe 6 dec hizo barua hatujazipata.
Kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu hili anijuze wadau,,,
wahi ofisini kwao la sivyo itakula kwako! Mind you wanafanyaga kamchezo ka kuficha barua za watu
Jamani ebu tupeane mawazo kuhusu hawa jamaa wa
PSRS:
Tarehe 28 mwezi uliopita (Novemba) wameita watu kazini kwenye kada mbali mbali kama MEO,VEO,WEO na zingine nyingi.
Katika tangazo la kuita watu kazini Katibu wa chombo hicho aliandika hivi: "Aidha barua za kuitwa kazini zimetumwa kupitia kwenye anwani zao"
Lakini cha Kushangaza ni kwamba mpaka leo tarehe 6 dec hizo barua hatujazipata.
Kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu hili anijuze wadau,,,
wahi ofisini kwao la sivyo itakula kwako! Mind you wanafanyaga kamchezo ka kuficha barua za watu
Kweli kazi ipo,,!
Maana nafikiria gharama za kutoka kigoma kwenda dar kufuata barua.
fanya kila uwezaloupate barua ndugu....utakuta mwana si wako ....bongo hiiKweli kazi ipo,,!
Maana nafikiria gharama za kutoka kigoma kwenda dar kufuata barua.
Jamani ebu tupeane mawazo kuhusu hawa jamaa wa
PSRS:
Tarehe 28 mwezi uliopita (Novemba) wameita watu kazini kwenye kada mbali mbali kama MEO,VEO,WEO na zingine nyingi.
Katika tangazo la kuita watu kazini Katibu wa chombo hicho aliandika hivi: "Aidha barua za kuitwa kazini zimetumwa kupitia kwenye anwani zao"
Lakini cha Kushangaza ni kwamba mpaka leo tarehe 6 dec hizo barua hatujazipata.
Kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu hili anijuze wadau,,,
Mkuu Vuta Subira tunasubiri Maelezo Mengine Kutoka Lumumba
Kweli kazi ipo,,!
Maana nafikiria gharama za kutoka kigoma kwenda dar kufuata barua.