Jamani ebu tupeane mawazo kuhusu hawa jamaa wa
PSRS:
Tarehe 28 mwezi uliopita (Novemba) wameita watu kazini kwenye kada mbali mbali kama MEO,VEO,WEO na zingine nyingi.
Katika tangazo la kuita watu kazini Katibu wa chombo hicho aliandika hivi: "Aidha barua za kuitwa kazini zimetumwa kupitia kwenye anwani zao"
Lakini cha Kushangaza ni kwamba mpaka leo tarehe 6 dec hizo barua hatujazipata.
Kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu hili anijuze wadau,,,
PSRS:
Tarehe 28 mwezi uliopita (Novemba) wameita watu kazini kwenye kada mbali mbali kama MEO,VEO,WEO na zingine nyingi.
Katika tangazo la kuita watu kazini Katibu wa chombo hicho aliandika hivi: "Aidha barua za kuitwa kazini zimetumwa kupitia kwenye anwani zao"
Lakini cha Kushangaza ni kwamba mpaka leo tarehe 6 dec hizo barua hatujazipata.
Kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu hili anijuze wadau,,,