Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Habari kutoka Libya, zaeleza
kuwa Seiful Al-Islam mtoto wa
Rais wa zamani wa Libya
aliyeuwawa kikatili
amefanikiwa kutoroka katika
jela alilokuwa amefungwa akisaidiwa na mshauriwake.
Seiful Al-Islam ametoroka
katika jela hiyo na kuondoka
nchini humo akisaidiwa na
mshauri wake wa karibu wa
kisiasa Muhammad Rashidi, na hivi sasa yasemekana yuko
katika uanja wa ndege wa
Niger kukimbilia
kusikojulikana.
Source:ABN
kuwa Seiful Al-Islam mtoto wa
Rais wa zamani wa Libya
aliyeuwawa kikatili
amefanikiwa kutoroka katika
jela alilokuwa amefungwa akisaidiwa na mshauriwake.
Seiful Al-Islam ametoroka
katika jela hiyo na kuondoka
nchini humo akisaidiwa na
mshauri wake wa karibu wa
kisiasa Muhammad Rashidi, na hivi sasa yasemekana yuko
katika uanja wa ndege wa
Niger kukimbilia
kusikojulikana.
Source:ABN