Security Notice: Fanyeni haya Kujilinda!

Security Notice: Fanyeni haya Kujilinda!

Wakuu, Nakumbuka niliwahi kuandika kitu kama hiki iwakati wa Uchaguzi uliopita lakini kwa bahati mbaya sana sana Ndugu yangu, Rafiki yangu Mohamedi Mtoi alipata ajali siku chache baadae, ajali ambayo haikuacha jereha mwili mwake ilikua mwezi wa tisa mwaka 2015. Pumzika kwa amani Kaka Chabebi.

Leo hii napenda tuangazie mambo mawili matatu ambayo huenda yakatusaidia kupunguza au at least kujiweka salama kidooogo kutokana na hali kuwa mbaya zaidi, si vibaya kuyaangalia kwa ufupi tu;
  • Hakikisha unapeleka gereji gari yako mahali ambapo ni salama, waweza kumtuma kijana wako wako akafanya usimamizi au mtu wa karibu sana ili kuhakikisha matengezo au service iliyokusudiwa unafanyika kwa usahihi, hii itapunguza uwezekano wa mambo mawili ya haraka haraka, MOJA, kulegezewa baadhi ya spare na hivyo kuongeza uwekezano wa kupata ajali ukiwa safarini, PILI, kupunguza uwezekano wa kufungiwa "Tracking device" na ukawa tracked kwenye mizunguko yako yote.
  • Hakikisha hupeleki gari service kisha ukasafiri muda huo huo yaani unatoka gereji unaingia barabarani na kuanza safari ndefu, at least jipe muda wa kuweza kui-monitor gari yako na ikiwezeakana ipeleke kwa mtu mwingine aikague pia.
  • Funga Camera, mbele na nyumba na hakikisha zinafanya kazi kwa kila wakati, niliwahi kuangalia kipindi kinaitwa "The Witness that never Lies" huyu shahidi ambaye sio muongo ni CCTV. inasaidia sana jitahidi sana kufunga iwe ni camera kwenye gari au mahali pako pa kazi au nyumbani.
  • Jitahidi kuwa na vifaa vidogo vidogo vya usalama kama kalamu zenye camera, saa, miwani n.k hivi vinasaidia sana sana kurekodi baadhi ya matukio, ni nani anajua lini kitatokea wapi na kwa jinsi gani??
  • Jitahidi sana sana kuitumia simu yako vizuri, kwa mfano baadhi ya Simu "Smartphone" zina ile huduma ya dharura ambayo ukiwa kwenye dharura unaweza kui-command let us say, una press One kwa sekunde kadhaa kisha inarekodi vidio na kuzituma kwa namba ambazo utakua umezihifadhi na kuomba msaada, hii inatakiwa pia uwe umeiwezesha GPS kwahio mtumiaji au rafiki yako atapata picha au vidio na GPS location ulipo kwa muda huo. Ina uwezo wa kutuma kwa kipindi kirefu tu. Hivyo simu inaweza kuwa kombozi pia
  • Je, unapenda kutembelea wapi? hakikisha eneo unalotembelea ni salam kwako, hakikisha unaweza kuangalia mazingira ambayo risk ni ndogo. Usiende kila mahali, usikubali kuitikia kila wito.
  • Je marafiki zako ni akina nani? mnahusianaje? Mna muda gani katika urafiki wenu? Ni kipi hasa kinawaunganisha? Hapa angalia sana sana unaweza kutengenezewa rafiki kwa miezi sita. Kwa mfano, mmekutana JF kwenye PM kisha faster faster urafiki usio na kichwa wala miguu unashamiri, mnapanga kuonana, kisha.....nani anayejua???
  • Mwisho, acha kumakinikia (Concentrate) kwenye simu au laptop ukiwa safarini; jitahidi sana kuangalia watu unaopishana nao njiani, nani anakufuata njiani, anakupitaje, speed yake ikoje? Kisha hakikisha kila mara uko suspicious
Get well Tundu Lissu
Hii nyuzi ni njema sana kipindi hiki cha wasiojulikana.
 
Somebody's Gotta Die
Song by The Notorious B.I.G.

I'm sittin' in the crib dreamin' about Leer jets and coupes
The way Salt shoops and how they sell records like Snoop
Oops! I'm interrupted by a doorbell
3:52, who the hell
Is this?
I gets up quick
Cock my shit
Stop the dogs from barkin'
Then proceed to walkin'
Its a face that I seen before
My nigga Sing, he used to sling on the 16th floor
Check it
I look deeper
I see blood up on his sneakers
And his fist gripped a chrome four-fifth
So I dip
Nigga, is you creepin' or speakin'?
He tells me C-Rock just got hit up at the beacon
I opens up the door, pitiful
Is he in critical?
Retaliation for this one won't be minimal
'Cause I'm a criminal
Way before the rap shit
Bust the gat shit
Puff won't even know what happened,
If it's done smoothly
Silencers on the Uzi
Stash in the hooptie
My alibi, any cutie
With a booty that don't fucked Big Pop
Head spinnin', reminiscin' bout my man C-Rock

Somebody gotta die
If I go, you gotta go
Somebody gotta die
Let the gunshots blow
Somebody gotta die
Nobody gotta know
That I killed yo ass in the mist, kid
Somebody gotta die
If I go, you gotta go
Somebody gotta die
Let the gunshots blow
Somebody gotta die
Nobody gotta know
That I killed yo ass in the mist, kid



Fillin' clips he explained our situation
Precisely, so we know exactly what we facin'
Some kid named Jason
In a Honda station, wagon
Was braggin'
About how much loot and crack he stackin'
Rock had a grip so they formed up a clique
A small crew
'Round the time I was locked up with you
True indeed
But yo nigga let me proceed
Don't fill them clips too high
Give them bullets room to breathe
Damn where was I?
Yeah, run out of town, blew the *** up
D-Rock went home
And Jay got stuck the *** up
Hit 'em twice
Caught 'em right for the Persian white
Pistol whipped his kids
And taped up his wife
He figured Rock set em up, no question
Wet em up no less
Than 50 shots in his direction
How many shots?
Man nigga, I seen mad holes
"What kinda gats?"
"Heckler & Koch and Calicos"
But *** that
I know where all them niggas rest at
In the buildin' hustlin'
And they don't be strapped
Supreme in black
Is downstairs, the engine runnin'
Find a bag to put the guns in
And c'mon if you comin'

Somebody gotta die
If I go, you gotta go
Somebody gotta die
Let the gunshots blow
Somebody gotta die
Nobody gotta know
That I killed yo ass in the mist, kid
Somebody gotta die
If I go, you gotta go
Somebody gotta die
Let the gunshots blow
Somebody gotta die
Nobody gotta know
That I killed yo ass in the mist, kid



Exchanged hugs and pounds before the throw down
How it's gonna go down
Lay these niggas low-down
Slow down
*** all that plannin' shit
Run up in they cribs
And make 'em catch the man n shit
See niggas like you do ten year bids
Miss the nigga they want
And murder innocent kids
Not I
One niggas in my eye
That's Jason
Ain't no slugs gonna be wasted
Revenge I'm tastin' at the tip of my lips
I can't wait to feel my clip in his hips
Pass the chocolate
Thai
Sing ain't lie
There's Jason with his back to me
Talkin' to his faculty
I start to get a funny feeling
Put the mask on in case his niggas start squealin'
Scream his name out
Squeeze six knuckles shorter
Nigga turned around holdin' his daughter
 
Wakuu, Nakumbuka niliwahi kuandika kitu kama hiki iwakati wa Uchaguzi uliopita lakini kwa bahati mbaya sana sana Ndugu yangu, Rafiki yangu Mohamedi Mtoi alipata ajali siku chache baadae, ajali ambayo haikuacha jereha mwili mwake ilikua mwezi wa tisa mwaka 2015. Pumzika kwa amani Kaka Chabebi.

Leo hii napenda tuangazie mambo mawili matatu ambayo huenda yakatusaidia kupunguza au at least kujiweka salama kidooogo kutokana na hali kuwa mbaya zaidi, si vibaya kuyaangalia kwa ufupi tu;
  • Hakikisha unapeleka gereji gari yako mahali ambapo ni salama, waweza kumtuma kijana wako wako akafanya usimamizi au mtu wa karibu sana ili kuhakikisha matengezo au service iliyokusudiwa unafanyika kwa usahihi, hii itapunguza uwezekano wa mambo mawili ya haraka haraka, MOJA, kulegezewa baadhi ya spare na hivyo kuongeza uwekezano wa kupata ajali ukiwa safarini, PILI, kupunguza uwezekano wa kufungiwa "Tracking device" na ukawa tracked kwenye mizunguko yako yote.
  • Hakikisha hupeleki gari service kisha ukasafiri muda huo huo yaani unatoka gereji unaingia barabarani na kuanza safari ndefu, at least jipe muda wa kuweza kui-monitor gari yako na ikiwezeakana ipeleke kwa mtu mwingine aikague pia.
  • Funga Camera, mbele na nyumba na hakikisha zinafanya kazi kwa kila wakati, niliwahi kuangalia kipindi kinaitwa "The Witness that never Lies" huyu shahidi ambaye sio muongo ni CCTV. inasaidia sana jitahidi sana kufunga iwe ni camera kwenye gari au mahali pako pa kazi au nyumbani.
  • Jitahidi kuwa na vifaa vidogo vidogo vya usalama kama kalamu zenye camera, saa, miwani n.k hivi vinasaidia sana sana kurekodi baadhi ya matukio, ni nani anajua lini kitatokea wapi na kwa jinsi gani??
  • Jitahidi sana sana kuitumia simu yako vizuri, kwa mfano baadhi ya Simu "Smartphone" zina ile huduma ya dharura ambayo ukiwa kwenye dharura unaweza kui-command let us say, una press One kwa sekunde kadhaa kisha inarekodi vidio na kuzituma kwa namba ambazo utakua umezihifadhi na kuomba msaada, hii inatakiwa pia uwe umeiwezesha GPS kwahio mtumiaji au rafiki yako atapata picha au vidio na GPS location ulipo kwa muda huo. Ina uwezo wa kutuma kwa kipindi kirefu tu. Hivyo simu inaweza kuwa kombozi pia
  • Je, unapenda kutembelea wapi? hakikisha eneo unalotembelea ni salam kwako, hakikisha unaweza kuangalia mazingira ambayo risk ni ndogo. Usiende kila mahali, usikubali kuitikia kila wito.
  • Je marafiki zako ni akina nani? mnahusianaje? Mna muda gani katika urafiki wenu? Ni kipi hasa kinawaunganisha? Hapa angalia sana sana unaweza kutengenezewa rafiki kwa miezi sita. Kwa mfano, mmekutana JF kwenye PM kisha faster faster urafiki usio na kichwa wala miguu unashamiri, mnapanga kuonana, kisha.....nani anayejua???
  • Mwisho, acha kumakinikia (Concentrate) kwenye simu au laptop ukiwa safarini; jitahidi sana kuangalia watu unaopishana nao njiani, nani anakufuata njiani, anakupitaje, speed yake ikoje? Kisha hakikisha kila mara uko suspicious
Get well Tundu Lissu
Ushauri mzuri
 
Wakuu, Nakumbuka niliwahi kuandika kitu kama hiki iwakati wa Uchaguzi uliopita lakini kwa bahati mbaya sana sana Ndugu yangu, Rafiki yangu Mohamedi Mtoi alipata ajali siku chache baadae, ajali ambayo haikuacha jereha mwili mwake ilikua mwezi wa tisa mwaka 2015. Pumzika kwa amani Kaka Chabebi.

Leo hii napenda tuangazie mambo mawili matatu ambayo huenda yakatusaidia kupunguza au at least kujiweka salama kidooogo kutokana na hali kuwa mbaya zaidi, si vibaya kuyaangalia kwa ufupi tu;
  • Hakikisha unapeleka gereji gari yako mahali ambapo ni salama, waweza kumtuma kijana wako wako akafanya usimamizi au mtu wa karibu sana ili kuhakikisha matengezo au service iliyokusudiwa unafanyika kwa usahihi, hii itapunguza uwezekano wa mambo mawili ya haraka haraka, MOJA, kulegezewa baadhi ya spare na hivyo kuongeza uwekezano wa kupata ajali ukiwa safarini, PILI, kupunguza uwezekano wa kufungiwa "Tracking device" na ukawa tracked kwenye mizunguko yako yote.
  • Hakikisha hupeleki gari service kisha ukasafiri muda huo huo yaani unatoka gereji unaingia barabarani na kuanza safari ndefu, at least jipe muda wa kuweza kui-monitor gari yako na ikiwezeakana ipeleke kwa mtu mwingine aikague pia.
  • Funga Camera, mbele na nyumba na hakikisha zinafanya kazi kwa kila wakati, niliwahi kuangalia kipindi kinaitwa "The Witness that never Lies" huyu shahidi ambaye sio muongo ni CCTV. inasaidia sana jitahidi sana kufunga iwe ni camera kwenye gari au mahali pako pa kazi au nyumbani.
  • Jitahidi kuwa na vifaa vidogo vidogo vya usalama kama kalamu zenye camera, saa, miwani n.k hivi vinasaidia sana sana kurekodi baadhi ya matukio, ni nani anajua lini kitatokea wapi na kwa jinsi gani??
  • Jitahidi sana sana kuitumia simu yako vizuri, kwa mfano baadhi ya Simu "Smartphone" zina ile huduma ya dharura ambayo ukiwa kwenye dharura unaweza kui-command let us say, una press One kwa sekunde kadhaa kisha inarekodi vidio na kuzituma kwa namba ambazo utakua umezihifadhi na kuomba msaada, hii inatakiwa pia uwe umeiwezesha GPS kwahio mtumiaji au rafiki yako atapata picha au vidio na GPS location ulipo kwa muda huo. Ina uwezo wa kutuma kwa kipindi kirefu tu. Hivyo simu inaweza kuwa kombozi pia
  • Je, unapenda kutembelea wapi? hakikisha eneo unalotembelea ni salam kwako, hakikisha unaweza kuangalia mazingira ambayo risk ni ndogo. Usiende kila mahali, usikubali kuitikia kila wito.
  • Je marafiki zako ni akina nani? mnahusianaje? Mna muda gani katika urafiki wenu? Ni kipi hasa kinawaunganisha? Hapa angalia sana sana unaweza kutengenezewa rafiki kwa miezi sita. Kwa mfano, mmekutana JF kwenye PM kisha faster faster urafiki usio na kichwa wala miguu unashamiri, mnapanga kuonana, kisha.....nani anayejua???
  • Mwisho, acha kumakinikia (Concentrate) kwenye simu au laptop ukiwa safarini; jitahidi sana kuangalia watu unaopishana nao njiani, nani anakufuata njiani, anakupitaje, speed yake ikoje? Kisha hakikisha kila mara uko suspicious
Get well Tundu Lissu


Ahsante kwa tipu za usalama!
Je ni kweli gari la lisu likikuwa na kamera kali? Je ni kweli iliwanasa sura za waliompiga risasi?
 
Kwa ' Mafia ' na ' Majasusi ' waliobobea na kutukuka hakuna ambalo litaweza kuwazuia Wao kutekeleza walitakalo kulingana na hayo maelekezo yote ya ' Kiusalama / Kiulinzi ' uliyoyatoa hapo. Usijidanganye wakikutaka wanakupata muda wowote, mahala popote na siku yoyote. Kila la kheri.
Nina mashaka na IQ yako.
 
Kwa ' Mafia ' na ' Majasusi ' waliobobea na kutukuka hakuna ambalo litaweza kuwazuia Wao kutekeleza walitakalo kulingana na hayo maelekezo yote ya ' Kiusalama / Kiulinzi ' uliyoyatoa hapo. Usijidanganye wakikutaka wanakupata muda wowote, mahala popote na siku yoyote. Kila la kheri.
Unachafua thread ya watu ndama wewe,kaa kimya
 
Back
Top Bottom