Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,832
- 145,692
Atheists wanaamini ni nini chanzo cha uovu na wema duniani? Kiranga
Kwanza kabisa Atheism si dini, na haina msahafu useme Atheism wanaamini hiki.
Lakini naweza kusema kwa kufuata kanuni za critical thinking, empiricism na secular humanism.
Chanzo cha uovu na wema kivipi?
Kwa context ya matendo ya binadamu, chanzo ni binadamu.
Chanzo cha mtu mmoja kumuua mwingine ni uovu na ujinga wa binadamu. Vivyo hivyo, mbadala mkabala utatumika kwa mazuri.
Huhitaji mungu au shetani kuwa muovu au mwema. Wewe mwenyewe kama mtu unaweza kuwa muovu au mwema kivyakovyako.
Kwa nini umuhitaji mungu au shetani kiwa mwema au muovu?