Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,508
- 2,058
Hapo hapo Kiranga unapema ukiwa Atheist huwezi kuwa Freemason sasa kwanini mmiliki wa Facebook ni Freemason na ni Atheist?
Unaweza kuthibitisha maneno yako?
Last edited by a moderator:
Hapo hapo Kiranga unapema ukiwa Atheist huwezi kuwa Freemason sasa kwanini mmiliki wa Facebook ni Freemason na ni Atheist?
Dahl! Kumbe ndivyo ilivyo!sukuma,haya,hehe,ngoni,sambaa,zanaki,nyakyusa,chaga,kulya and maasai.
Nyie ndiyo huwa mnatapeliwa kirahisi tu kwa kuwa mnakosa maarifa, wewe kuona laini ya simu imesajiliwa kwa jina shetani au freemason kwako ni ushahidi tosha?Unataka niwasome wapi Freemason, siku hizi mitaani wanagawa vipeperushi vyao vya kutoa "misaada", wanatoa na namba za simu, ukifuatilia namba hizi zimesajiliwa kwa majina ya ; Freemason_shetani au mungu_shetani, nitafute ushahidi gani?
ndiyo maana wakapewa jina hilo la "mzungu", ambalo etymologicaly lina msingi mmoja na mungu.
sukuma,haya,hehe,ngoni,sambaa,zanaki,nyakyusa,chaga,kulya and maasai.
wewe unaharibu maadKwa Tanzania ipo moja tu tena ni USALAMA WA TAIFA ~ CIA, dhamira ni kuwatesa watetezi wa wanyonge kama kina Dr Ulimboka...:!
Pwani, Lindi na MtwaraHivi vile visima vya Sabodo vilichimbwa wapi? Au jamaa hakutoa hela nini, ukute ilikuwa picha tu!
Nilichosema hapa ni kwamba, ili kuwa Freemason, inabidi uamini katika mungu wa aina fulani.
Kama mungu huyo ni Allah, Jehovah, Lucifer etc, hilo ni swali la upili, si swali la msingi.
Swali la msingi ni kwamba unaamini mungu?
Mimi kama Atheist siamini mungu yeyote. Allah, Jehovah, Lucifer etc.
Kwa hiyo, nashindwa kukidhi mahitaji ya swali la msingi kabisa la kuwa Fremason. Kitu ambacho kwa Mkristo au Muislamu si kweli. Wakeisto na Waislamu hawashindwi kukidhi mahitaji ya msingi kabisa ya kuwa Freemason. Hata kama Freemasonry ni kumuabudu shetani -something I dispute below-, kumshawishi mtu anayeamini katika kuwapo kwa mungu na shetani aache kumuabudu mungu na amuabudu shetani ni rahisi kuliko kumshawishi mtu ambaye hakubaki kuwapo kwa mungu wala shetani.
Wakristo na Waislam wanaoamini katika mungu wako karibu na Freemasons kuliko mimi ambaye siamini katika mungu yeyote.
Mimi nikituma application ya kuwa Freemason nakuwa disqualified kwenye swali la kwanza tu, unaamini katika kuwepo kwa mungu? Nikijibu siamini, naambiwa out, hatukutaki.
Wakristo na Waislamu wanapasi hili swali. Kama kuna disqualification katika mungu gani itakuja baadaye. And the notion kwamba Wanaoamini mungu wa Wakristo na Waislamu hawawezi kuwa Freemasons inatokana na kutokuwa na elimu ya msingi kuhusu Freemasonry tu. Moja ya malengo ya Freemasons ni kujumuisha dini zote zinazoamini katika mungu chini ya society moja, ndiyo maana swali lao la msingi ni kama unaamini mungu. Ukishaamini mungu tu, wanaweza kufanya kazi na wewe kwa kulingana na mazingira. Usipoamini mungu hawana hata pa kuanzia, unakuwa disqualifued by axiomatic principles.
Tunaona hii habari ya kwamba Freemasons wanaamini katika Lucifer ni myth ambayo inatokana na kukosa habari basic kuhusiana na Freemasons. Freemasons ni secret society lakini kuna mambo ya msingi kuhusu Freemasoms yanajulikana.
I suggest you pick up a copy of John J Robinsons "Born in Blood : The Lost Secrets of Freemasonry" which I immensely enjoyed.
Additionaly, you may want to check out the section that deal with Harry Truman's initiation into Freemasonry in David McCullough's Pulitzer winning Magnum Opus biography "Truman", one of the best biographies of a United States president, which I also enjoyed immensely.
Tatizo watu hatusomi hata the basics, lakini tunarukia kuandika.
Kwa kila neno moja unaloandika, hakikisha umesoma maneno mia moja kutoka kwenye sources za kuaminika.
Cc EMT
Unataka niwasome wapi Freemason, siku hizi mitaani wanagawa vipeperushi vyao vya kutoa "misaada", wanatoa na namba za simu, ukifuatilia namba hizi zimesajiliwa kwa majina ya ; Freemason_shetani au mungu_shetani, nitafute ushahidi gani?
Hapo hapo Kiranga unapema ukiwa Atheist huwezi kuwa Freemason sasa kwanini mmiliki wa Facebook ni Freemason na ni Atheist?
Kuhusu hilo la wazungu kuitwa hivyo, mimi nimewahi kusikia maelezo tofauti kabisa tena kutoka kwa chanzo ninachokiamini, kwamba, hilo jina lilitokana na tabia yao ya kuzunguka zunguka (kumbuka explorers) huku na kule na hivyo kupachikwa jina la 'mzungukaji'/ wazungukaji ambalo kwa ufupisho ndo tukapata 'mzungu/ wazungu'.
Hiyo ya wao kuitwa hivyo kwa sababu ya kuwaona wao ni "miungu" nimeijulia hapa na nadhani ni sadfa tu ikatokea kwamba tofauti iliyopo kati ya hayo maneno mawili (ya mzungu na mungu) ni ya tahajia moja (ya 'z').
kwa maelezo yako ww utakuwa member wa hizo secret society...unatetea ulucifeli
harafu huamini ktk Mungu.....nan aliekuumba ww?
Hiyo ya kuzunguka naisikia leo.
Traditiona nyingi -sio za Afrika tu- zilikuwa na mapokeo ya kusema kwamba watakuja some sorts of gods ambao wako tofauti kuwasaidia. If you read about Pizzaro and the fall of the Inca you will see a parallel of this. Basically a band of a few Spaniards conquered the Incas easily hugely because the Incas prophesized the coming of the gods, which they interpreted to be Europeans. Jared Diamond's Pulitzer Magnum Opus "Guns, Germs and Steel" has a good narration on this.
Put a Ling Solomons Mines moment here and there, where the white man is able to predict an eclipse, given the religious importance of eclipse before the coming of Europeans, and I can totally understand why some would see the whites as gods, even as aome Kimweris saw them as cannobal coming to look for tasty meat.
Kuna lugha za makabila fulani mpaka leo neno mzungu au mizungu linamaanisha mungu /miungu na watu wanaomba kwa mizungu.
Hilo la zinguka I don't know, but I wouldn't put it past a convenient whitewashing of history. After all kukubali kwamba tuliwaona wazungu kama miungu is a painfull pill to swallow. Given the nationalist spirit after insependence, I wouldn't put even certain reputable academicians beyond succumbing to the pressure of concocting a more dignified explanation.
Nilichosema hapa ni kwamba, ili kuwa Freemason, inabidi uamini katika mungu wa aina fulani.
Kama mungu huyo ni Allah, Jehovah, Lucifer etc, hilo ni swali la upili, si swali la msingi.
Swali la msingi ni kwamba unaamini mungu?
Mimi kama Atheist siamini mungu yeyote. Allah, Jehovah, Lucifer etc.
Kwa hiyo, nashindwa kukidhi mahitaji ya swali la msingi kabisa la kuwa Fremason. Kitu ambacho kwa Mkristo au Muislamu si kweli. Wakeisto na Waislamu hawashindwi kukidhi mahitaji ya msingi kabisa ya kuwa Freemason. Hata kama Freemasonry ni kumuabudu shetani -something I dispute below-, kumshawishi mtu anayeamini katika kuwapo kwa mungu na shetani aache kumuabudu mungu na amuabudu shetani ni rahisi kuliko kumshawishi mtu ambaye hakubaki kuwapo kwa mungu wala shetani.
Wakristo na Waislam wanaoamini katika mungu wako karibu na Freemasons kuliko mimi ambaye siamini katika mungu yeyote.
Mimi nikituma application ya kuwa Freemason nakuwa disqualified kwenye swali la kwanza tu, unaamini katika kuwepo kwa mungu? Nikijibu siamini, naambiwa out, hatukutaki.
Wakristo na Waislamu wanapasi hili swali. Kama kuna disqualification katika mungu gani itakuja baadaye. And the notion kwamba Wanaoamini mungu wa Wakristo na Waislamu hawawezi kuwa Freemasons inatokana na kutokuwa na elimu ya msingi kuhusu Freemasonry tu. Moja ya malengo ya Freemasons ni kujumuisha dini zote zinazoamini katika mungu chini ya society moja, ndiyo maana swali lao la msingi ni kama unaamini mungu. Ukishaamini mungu tu, wanaweza kufanya kazi na wewe kwa kulingana na mazingira. Usipoamini mungu hawana hata pa kuanzia, unakuwa disqualifued by axiomatic principles.
Tunaona hii habari ya kwamba Freemasons wanaamini katika Lucifer ni myth ambayo inatokana na kukosa habari basic kuhusiana na Freemasons. Freemasons ni secret society lakini kuna mambo ya msingi kuhusu Freemasoms yanajulikana.
I suggest you pick up a copy of John J Robinsons "Born in Blood : The Lost Secrets of Freemasonry" which I immensely enjoyed.
Additionaly, you may want to check out the section that deal with Harry Truman's initiation into Freemasonry in David McCullough's Pulitzer winning Magnum Opus biography "Truman", one of the best biographies of a United States president, which I also enjoyed immensely.
Tatizo watu hatusomi hata the basics, lakini tunarukia kuandika.
Kwa kila neno moja unaloandika, hakikisha umesoma maneno mia moja kutoka kwenye sources za kuaminika.
Cc EMT
Huwezi kuwa Freemason kama huamini katika kuwepo kwa mungu.
Sharti la msingi kabisa la kuwa Freemason no kuamini kiwapo kwa mungu.
Huyo mmiliki wa Facebook hawezi kiwa Atheist na Freemason kwa wakati mmoja.
That's an inherent contradiction like "a married bachelor".
Tatizo ni kwamba hakuna uhakika mkubwa wa chanzo cha hilo neno thus creating room for more than one explanation as to its origins.
Mimi binafsi naamini chanzo ni hiyo iliyokuwa tabia yao ya kuzunguka zunguka sehemu mbalimbali na naona maelezo hayo kuwa na mantiki zaidi.
Mzungukaji/ mzungu
Wazungukaji/ wazungu
Mkuu Kiranga mie nataka unieleweshe hasa lengo la hizi secret society ni nini, tuanzie hapo kwa masons kama hutojali.
TUKI wanasemaje? Although I wouldn't put them past a sanitized and politically correct definition either.
Mzungu (pronounced [m̩ˈzuŋɡu]) is a Bantu language term used in the African Great Lakes region to refer to people of European descent.
It is a commonly used expression among Bantu peoples in Kenya, Tanzania, Malawi, Rwanda, Burundi, Uganda and Zambia.
The word "wachizungu" has a particular historical development in this region, dating back to the 18th century. "Wachizungu" used to mean "things of the aimless wanderers."
Literally translated it meant "someone who roams around aimlessly" or "aimless wanderer."[SUP][1][/SUP]
The term was first used in the African Great Lakes region to describe European explorers in the 18th century, apparently as a result of their propensity to get lost in their wanderings in Africa.
The word Muzungu comes from Kiswahili, where ‘zungu' is the word for spinning around on the same spot. That dizzy lost look was perfected by the first white people arriving in the African Great Lakes. Muzunguzungu is Kiswahili for a dizzy person.[SUP][2][/SUP] T
he term is now used to refer to "someone with white skin" or "white skin".