Secret Societies in Tanzania

Secret Societies in Tanzania

sukuma,haya,hehe,ngoni,sambaa,zanaki,nyakyusa,chaga,kulya and maasai.
 
Baadhi zimesajiliwa Kama wajenzi Huru na wanasaidia jamii Lakin Sijui dhamira yao,Labda Mjenzi Huru Kiranga Ana majibu zaidi
 
Last edited by a moderator:
Baadhi zimesajiliwa Kama wajenzi Huru na wanasaidia jamii Lakin Sijui dhamira yao,Labda Mjenzi Huru Kiranga Ana majibu zaidi

Watu wengi wanachanganya Atheists na Freemasons.

Wanafikiri Atheists ni Freemasons. Au Atheists wana uwezekano mkubwa wa kuwa Freemasons.

Wrong.

Huwezi kuwa Freemason kama huamini katika mungu. Kuamini katika mungu ni sharti la msingi kabisa katika kuwa Freemasons. Ukisoma historia ya Freemasons utaona imeanzishwa na Templar Knights, Christian monks. Sasa itakuwaje mimi Atheist niwe Freemason?

Kusema Atheist ni Freemason ni contradiction kuliko kusema Atheist ni mkristo au muislamu.

Wakristo na Waislamu wapo karibu na Freemasons kuliko sisi Atheists. Kwa sababu angalau wanatimiza kanuni moja ya msingi ya kuwa Freemason. Ile ya kuamini kwamba mungu yupo.

Natumaini umejifunza kitu kuhusiana na Freemasons leo.

Kifupi Freemasons hawamkubali mtu yeyote asiyeamini kuwepo kwa mungu katika jamii yao. Hivyo, mimi nisiyeamini kuwapo kwa mungu, siwezi kuwa Freemason.
 
Last edited by a moderator:
Wahindi wa Tanzania wana secret society yao ambayo ndiyo inayoiweka CCM madarakani miaka nenda rudi. Na huwa wananufaika nayo kwa kupewa tender and all bigest deals za serikali. Huwa wanajitanaibisha kwamba wao ni Watanzania lakini cha kushangaza hakuna Muhindi aliyeko chama cha upinzani, wote ni waumini wa CCM kwakuwa CCM washainunua na inawatumikia wao. Refer deal wanazopiga akina Rostam na Dewji na utitiri wa wahindi wengine..

Alafu kwa kujisafisha wanaanzisha vi rotary club vya kujifanya wanasaidia watu wenye matatizo ya moyo kuwapeleka India kutibiwa, siku nitakayomuona muhindi yeyote anayesupport upinzani dhahiri shairi ndio nitajua hawa ni Watanzania wenzetu (Sabodo atolewe hapo)
 
Wahindi wa Tanzania wana secret society yao ambayo ndiyo inayoiweka CCM madarakani miaka nenda rudi. Na huwa wananufaika nayo kwa kupewa tender and all bigest deals za serikali. Huwa wanajitanaibisha kwamba wao ni Watanzania lakini cha kushangaza hakuna Muhindi aliyeko chama cha upinzani, wote ni waumini wa CCM kwakuwa CCM washainunua na inawatumikia wao. Refer deal wanazopiga akina Rostam na Dewji na utitiri wa wahindi wengine..

Alafu kwa kujisafisha wanaanzisha vi rotary club vya kujifanya wanasaidia watu wenye matatizo ya moyo kuwapeleka India kutibiwa, siku nitakayomuona muhindi yeyote anayesupport upinzani dhahiri shairi ndio nitajua hawa ni Watanzania wenzetu (Sabodo atolewe hapo)

Good thing you mentioned Sabodo as an exception.

Nilikuwa nataka kumtaja kama exception.

Kuna watu huwa wanatoa michango kwa pande mbili zote zinazohasimiana kwenye chaguzi kwa matumaini kwamba yeyote akishinda wanakuwa wao wameshinda. Hivyo tusishangae kusikia kwamba Sabodo ni muwakilishi wa jumuiya ya wahindi, anatumiwa kiasi kwamba siku moja upinzani ukipata kuchukua madaraka wahindi wawe na pa kupenyea wakisema "sisi tulikuwa na Sabodo lakini hatukutaka kujulikana kwa kuogopa CCM".

It's just conjecture, but not totally implausible.
 
Mungu, mungu, mulungu wote mzungu.

Mkuu,hivii,Mungu wa freemasons ndiye Mungu wa christians na muslims,i.e Lucifa ndiye ALLAH na GOD???,kama sio basi common bond kupitia miungu yao haifanani hivyo basi,hawaamini mungu mmoja
 
Mkuu,hivii,Mungu wa freemasons ndiye Mungu wa christians na muslims,i.e Lucifa ndiye ALLAH na GOD???,kama sio basi common bond kupitia miungu yao haifanani hivyo basi,hawaamini mungu mmoja

Nilichosema hapa ni kwamba, ili kuwa Freemason, inabidi uamini katika mungu wa aina fulani.

Kama mungu huyo ni Allah, Jehovah, Lucifer etc, hilo ni swali la upili, si swali la msingi.

Swali la msingi ni kwamba unaamini mungu?

Mimi kama Atheist siamini mungu yeyote. Allah, Jehovah, Lucifer etc.

Kwa hiyo, nashindwa kukidhi mahitaji ya swali la msingi kabisa la kuwa Fremason. Kitu ambacho kwa Mkristo au Muislamu si kweli. Wakeisto na Waislamu hawashindwi kukidhi mahitaji ya msingi kabisa ya kuwa Freemason. Hata kama Freemasonry ni kumuabudu shetani -something I dispute below-, kumshawishi mtu anayeamini katika kuwapo kwa mungu na shetani aache kumuabudu mungu na amuabudu shetani ni rahisi kuliko kumshawishi mtu ambaye hakubaki kuwapo kwa mungu wala shetani.

Wakristo na Waislam wanaoamini katika mungu wako karibu na Freemasons kuliko mimi ambaye siamini katika mungu yeyote.

Mimi nikituma application ya kuwa Freemason nakuwa disqualified kwenye swali la kwanza tu, unaamini katika kuwepo kwa mungu? Nikijibu siamini, naambiwa out, hatukutaki.

Wakristo na Waislamu wanapasi hili swali. Kama kuna disqualification katika mungu gani itakuja baadaye. And the notion kwamba Wanaoamini mungu wa Wakristo na Waislamu hawawezi kuwa Freemasons inatokana na kutokuwa na elimu ya msingi kuhusu Freemasonry tu. Moja ya malengo ya Freemasons ni kujumuisha dini zote zinazoamini katika mungu chini ya society moja, ndiyo maana swali lao la msingi ni kama unaamini mungu. Ukishaamini mungu tu, wanaweza kufanya kazi na wewe kwa kulingana na mazingira. Usipoamini mungu hawana hata pa kuanzia, unakuwa disqualifued by axiomatic principles.

Tunaona hii habari ya kwamba Freemasons wanaamini katika Lucifer ni myth ambayo inatokana na kukosa habari basic kuhusiana na Freemasons. Freemasons ni secret society lakini kuna mambo ya msingi kuhusu Freemasoms yanajulikana.

I suggest you pick up a copy of John J Robinsons "Born in Blood : The Lost Secrets of Freemasonry" which I immensely enjoyed.

Additionaly, you may want to check out the section that deal with Harry Truman's initiation into Freemasonry in David McCullough's Pulitzer winning Magnum Opus biography "Truman", one of the best biographies of a United States president, which I also enjoyed immensely.

Tatizo watu hatusomi hata the basics, lakini tunarukia kuandika.

Kwa kila neno moja unaloandika, hakikisha umesoma maneno mia moja kutoka kwenye sources za kuaminika.

Cc EMT
 
Last edited by a moderator:
Wahindi wa Tanzania wana secret society yao ambayo ndiyo inayoiweka CCM madarakani miaka nenda rudi. Na huwa wananufaika nayo kwa kupewa tender and all bigest deals za serikali. Huwa wanajitanaibisha kwamba wao ni Watanzania lakini cha kushangaza hakuna Muhindi aliyeko chama cha upinzani, wote ni waumini wa CCM kwakuwa CCM washainunua na inawatumikia wao. Refer deal wanazopiga akina Rostam na Dewji na utitiri wa wahindi wengine..

Alafu kwa kujisafisha wanaanzisha vi rotary club vya kujifanya wanasaidia watu wenye matatizo ya moyo kuwapeleka India kutibiwa, siku nitakayomuona muhindi yeyote anayesupport upinzani dhahiri shairi ndio nitajua hawa ni Watanzania wenzetu (Sabodo atolewe hapo)

Hivi vile visima vya Sabodo vilichimbwa wapi? Au jamaa hakutoa hela nini, ukute ilikuwa picha tu!
 
Back
Top Bottom