Second selection yafutwa kwa kidato cha kwanza

Nyabukika

JF-Expert Member
Jun 15, 2022
1,402
942
Rais Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi sekta ya elimu alianzisha mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa 8000 nchi nzima vyenye thamani ya Tsh Bilioni 160 sasa madarasa yamekamilika kwa asilimia 95 na kupelekea wanafunzi wote kuanza masomo kwa pamoja.

Wanafunzi wanaotarajia kujiunga na kidato cha kwanza kuanzia 9 January 2023 ni jumla ya wanafunzi 1,073,941 (wavulana 514,846 na wasichana 559,095)

Lakini pia tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani amefanikiwa kujenga madarasa zaidi ya elfu 20 nchi nzima ndio maana wanafunzi wote wataanza masomo kwa wakati mmoja na kufutwa kwa second selectio pia wazazi wamenufaika na ujenzi huu wa madarasa kwasababu hawakutozwa chochote ukilinganisha na hapo awali.

Rais Samia Suluhu anaendelea kuboresha sekta ya elimu kwa kupita kuboresha mazingira ya kusomea pia kuajiri walimu wa kutosha na kujali maslahi ya walimu .
 
Rais Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi sekta ya elimu alianzisha mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa 8000 nchi nzima vyenye thamani ya Tsh Bilioni 160 sasa madarasa yamekamilika kwa asilimia 95 na kupelekea wanafunzi wote kuanza masomo kwa pamoja.

Wanafunzi wanaotarajia kujiunga na kidato cha kwanza kuanzia 9 January 2023 ni jumla ya wanafunzi 1,073,941 (wavulana 514,846 na wasichana 559,095)

Lakini pia tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani amefanikiwa kujenga madarasa zaidi ya elfu 20 nchi nzima ndio maana wanafunzi wote wataanza masomo kwa wakati mmoja na kufutwa kwa second selectio pia wazazi wamenufaika na ujenzi huu wa madarasa kwasababu hawakutozwa chochote ukilinganisha na hapo awali.

Rais Samia Suluhu anaendelea kuboresha sekta ya elimu kwa kupita kuboresha mazingira ya kusomea pia kuajiri walimu wa kutosha na kujali maslahi ya walimu .
Sawa aharakishe mchakato wa Tanzania kuungana na Marekani haraka sana.
 
Ngoja Kwanza

wamefuta aje second selection na huku wapo watakaoenda private??
Watakaoenda private ni kwa mapenzi yao tu lakini ukifatilia hata ufaulu mkubwa wa wanafunzi unatokea government school kwa sasa maana Rais Samia Suluhu ameboresha mazingira ya kusomea kwa shule za serikali
 
Rais Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi sekta ya elimu alianzisha mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa 8000 nchi nzima vyenye thamani ya Tsh Bilioni 160 sasa madarasa yamekamilika kwa asilimia 95 na kupelekea wanafunzi wote kuanza masomo kwa pamoja.

Wanafunzi wanaotarajia kujiunga na kidato cha kwanza kuanzia 9 January 2023 ni jumla ya wanafunzi 1,073,941 (wavulana 514,846 na wasichana 559,095)

Lakini pia tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani amefanikiwa kujenga madarasa zaidi ya elfu 20 nchi nzima ndio maana wanafunzi wote wataanza masomo kwa wakati mmoja na kufutwa kwa second selectio pia wazazi wamenufaika na ujenzi huu wa madarasa kwasababu hawakutozwa chochote ukilinganisha na hapo awali.

Rais Samia Suluhu anaendelea kuboresha sekta ya elimu kwa kupita kuboresha mazingira ya kusomea pia kuajiri walimu wa kutosha na kujali maslahi ya walimu .
Mambo ya kisenge tu ,darasa moja watoto 500.Mtoto anapata A masomo yote halafu unampeleka shule ya kata! Kwenye hiyo hesabu mwanangu mmtoe.
 
Watakaoenda private ni kwa mapenzi yao tu lakini ukifatilia hata ufaulu mkubwa wa wanafunzi unatokea government school kwa sasa maana Rais Samia Suluhu ameboresha mazingira ya kusomea kwa shule za serikali
Ufaulu wa form four acha uongo wanaofeli government schools ni balaa.Kidato cha tano wanachagua wazuri kutoka private ndo wanakuja kufaulu form six. Form Four wanafunzi wa shule za serikali wengi hupata div.iv na zero.Hao wa div.iv huhesabiwa wamefaulu,
 
Hilo ni pendekezo bado halijafanyiwa kazi mzee
Ahaaa ndio lile la walimu wa diploma kufundishe msingi tu?? Maana Kwa uhaba walimu hata sekondari kwenyewe uliwatoa wenye diploma si Ndio uhaba utazidi mara dufu
 
Ngoja Kwanza

wamefuta aje second selection na huku wapo watakaoenda private??
Mleta muongo na bwege kichwani.Usimtilie maanani

Mfano shule nyingi za msingi bweni za private wanafunzi wote hufaulu kwenda sekondary na hupangiwa shule za sekondari za day wilaya walipo na huwa wote hawaripoti

Ndio maana huweko second selection mleta ndio ile mijinga ambayo husifia hadi anayesifiwa kujisikia vibaya kuwa anasifiwa uongo na kumfanya ajisikie vibaya kulipa cheo bwege hili leta mada.Yaani mleta mada hopeless kabisa kichwani hamna kitu
Second selection haiepukiki


Hii kitu hata mama Sania akisoma lazima ajisikie vibaya
 
Back
Top Bottom