Second Round: SUA wameshaachia, ingia kwenye akaunt yako.

Second Round: SUA wameshaachia, ingia kwenye akaunt yako.

Acha uwongo, ile online system ya sokoine unv haiupdate wala kubadilika ikogo vilevile hamn kitu inaweza kuinform.
 
Dah, mkuu alisema uangalie kwenye account yako! Yawezekana wameachia kwenye a/c za wanafunzi tu ila sio pdf kwenye web ya chuo
Ndo kitu namwambia, kuwa akaunti hazibadiliki iko vilevile kama mwanzo.
 
jaman wadau naomben advice nmechagliwa chuo cha NIT bachelor degree of information technology vp inalipa
We somea kwanza. Mengine yatajisort yenyewe baadaye. So far, so good kadri wataanzania wengi wanavyojihusisha na kutumia teknolojia ya mawasiliano kwa njia ya internet, kunaongeza wiko wa soko la ajira kwa fani yako...
 
Ni kweli hiyo blocked nadhani wanafanyia kazi,maana hata mimi nimefungua akaunti ya kijana wangu wame block Username:
 
Kuhusu swala la kuwa blocked sijui ila ni kweli second round wameachia
 
Back
Top Bottom