Mkuu iyo iko kwenye sua website??
Kwel mkuu?
Siyo kweli, bado kuna maandishi yao mekunduMimi nimecheki tayari na nimepata chuo. namshukuru Mungu kwa kwakweli maana awamu ya kwanza walinitema
Siyo kweli, bado kuna maandishi yao mekundu
hivi sua maandishi yale yatoka tar30 agosti wanashindwa kuyatoa kweliSiyo kweli, bado kuna maandishi yao mekundu
nimeku pmhongera
jaman wadau naomben advice nmechagliwa chuo cha NIT bachelor degree of information technology vp inalipa






daah inalipa sana kwani uliikopesha shilingi ngapi mkuu?Hailipijaman wadau naomben advice nmechagliwa chuo cha NIT bachelor degree of information technology vp inalipa
asantenimeku pm
Huyu mkuu naona anatafuta kampani ya kupanic me pia nimecheki Hamna updatesMbona bado, miandishi ya mwisho tarehe 30 ipo![]()
Inalipa ila ukiamua kufanya kazi maana IT ina uwanja mpana kila siku technology inakuwa kubwa sasa ukijuwa kucheza na akili na kufaham mambo mengi hutojutia. Ila ukisema vya darasani tu vinatosha bora achana nayojaman wadau naomben advice nmechagliwa chuo cha NIT bachelor degree of information technology vp inalipa