mpaka kwa njia ya transfer labda, tcu wakisharuhusu transfer unapeleka barua chuoni wakikukubalia unapeleka tcu wanakupa admission, vyuo vya private almost vyote huwa M.D ina nafasi ata 20 za reserve kwa ishu kama hizo, mwaka jana waliowah walipewa tena ata ukiwa na three kama chuo wamekukubalia tcu hawasumbui.
Wadau hv mtu mwenye 4 ya brn pcm anasomea degree na kwa couse gan maana nina ndg yng yy yupo kwa waliokosa vyuo na hajui atajaza nn second round msaada tafadhari kimawazo
Wadau hv mtu mwenye 4 ya brn pcm anasomea degree na kwa couse gan maana nina ndg yng yy yupo kwa waliokosa vyuo na hajui atajaza nn second round msaada tafadhari kimawazo
Wadau hv mtu mwenye 4 ya brn pcm anasomea degree na kwa couse gan maana nina ndg yng yy yupo kwa waliokosa vyuo na hajui atajaza nn second round msaada tafadhari kimawazo
anasoma, kama ana d-2 yaani poiti 2 (e=0.5, d=1, c=2 n.k) kwahyo akiwa na hzo point mbili nakuendelea zpo baadhi ya kozi atakazokidhi vigezo na atasoma, fuatilia tcu-guide book.
anasoma, kama ana d-2 yaani poiti 2 (e=0.5, d=1, c=2 n.k) kwahyo akiwa na hzo point mbili nakuendelea zpo baadhi ya kozi atakazokidhi vigezo na atasoma, fuatilia tcu-guide book.