Acha uongo ww hapa DUCE ni 2500 na pale IFM ni 1500 Jumla ni 4000 cz wamechuja watu buku kwa sabab ya kwanza pale IFM Tulikuwa 5000 upo na bado interview moja jiandae kupigiwa simu hyo ukipigiwa ndo shav moja kwa moja iwe oral au written.....Kutoka HQ