Itoe haraka Sana kabla simu yako hujaikosa...Habari zenu wana Jf.Naombeni msaada memory card yangu inaandika maandishi hayo hapo juu.Nasita kuiformat naomba msaada kwa yeyote anayejua namna ya kuirudisha sawasawa.Asanteni
ata ukifomat bado aitakubaliHabari zenu wana Jf.Naombeni msaada memory card yangu inaandika maandishi hayo hapo juu.Nasita kuiformat naomba msaada kwa yeyote anayejua namna ya kuirudisha sawasawa.Asanteni
Copy file ,Mara nying hutokea kweny android but kwenye PC huwa inasoma hii utokana na mtumiaji kuhifadhi data za aina moja kwa wing xo kuna malware huwa anaingia kutoka mitandaoni,blututh na hata kwa wif ambao huwa wapo active kama kuna a in a Fulani za data kwa wing, mfano n aina za mp3, .jpeg file, PDF file, mp4 nying, mostly inatokea kwa aina za hapo juu kwa moja kati ya hizo maybe kuchukua 73%------> ya sdcard yote so ikiwa hivyo hizo file huzalisha failing lingine ambalo android hudetect kama kitu ambacho kimeihalibu memory yako, so weka kwa PC na. Copy file zako zote kwenyepc halafu I format memory yako dhen iweke kwenye sim yako na tumia usbport kumuve data zako chache chache kwenda kwenye simu yako huku ukizichunguza na kama utaona kifile hakielewek na u anamashaka nako jaribu kukifutaOkay, nikishaweka nafanyaje?