- Thread starter
- #61
NBC watumie mipira yenye chips!?Unaleta mambo ya NBC PL duniani sio?
Uchawi ndo kitu wanaweza.
NBC watumie mipira yenye chips!?Unaleta mambo ya NBC PL duniani sio?
Ukiwa muafrika, automatically unakuwa mwendawazimuila afrika kuna mambo na mawazo mengi ya ajabu ajabu
La 2022 lilikuwa riggedHii ni kwa timu zote sio Africa tu. Inategemeana na dhumuni la scripter!
Kwakifupi unaleta story za kufikirika.NBC watumie mipira yenye chips!?
Uchawi ndo kitu wanaweza.
Upo sahihi mkuu unadhani hawawezi kumisuse hiyo tech. Iliyopachikwa kwenye mpira huo wa Trionda!?mpira wa Trionda una sensor ya kisasa ya 500Hz iliyojengwa ndani yake. Sensor hii inafuatilia mwendo wa mpira, kasi ya mashuti, mzunguko (spin), na mguso wa wachezaji kwa usahihi mkubwa, na data hutumika kusaidia VAR na mfumo wa AI kufanya maamuzi ya haraka na sahihi katika mechi za Kombe la Dunia 2026.
Kwa kifupi, mpira wa Trionda si mpira wa kawaida bali ni kifaa cha kiteknolojia kilichoundwa kuongeza usahihi, uwazi na msisimko katika mashindano ya FIFA World Cup 2026.
Kwanza kabla ya kuanza kubishana na wewe unafaham tech. iliyopachikwa kwenye mpira huo!?Kwakifupi unaleta story za kufikirika.
Nyie ndio wale mnaoamini Kolo Muani alipiga shuti ila mpira ukamfata Emi Martinez kwa maelekezo
DaaaaahUkiwa muafrika, automatically unakuwa mwendawazimu
Kiongozi!Yaani adidas kampuni ya kijeruman watengeneze mpira ambao utawagomea wajerumani wenyewe kwenye mashindano?
Kwahiyo mtu akisema sumaku unadhani ni zile sumaku za kuvutia vyuma ulizotumia utotoni!?Nguvu za uvutano wa sumaku 🤣
Inawezekana!La 2022 lilikuwa rigged
Lile lilikuwa scripted hadi Zlatan aliwahi kusema ilishaandikwa kuwa Messi na Argentina ndio wanaotakiwa kuwa mabingwaInawezekana!
Nafahamu mkuu ila hayo mengine ni mitazamo ya wadau tuKwanza kabla ya kuanza kubishana na wewe unafaham tech. iliyopachikwa kwenye mpira huo!?
Unadhani hawana uwezo wa kumisuse kwa manufaa yao binafsi!?
Messi huyo ni Agenda ya FIFA ya muda mrefu.Lile lilikuwa scripted hadi Zlatan aliwahi kusema ilishaandikwa kuwa Messi na Argentina ndio wanaotakiwa kuwa mabingwa
Hapana Messi anazungumziwa sana tena kwa promo kubwa ila jamii imeamua kufuata ukweli.Messi huyo ni Agenda ya FIFA ya muda mrefu.
Fanya research kidogo ya maisha ya Messi tangu akiwa mdogo, na kwanini maisha yake hayazungumziwi sana kama ya Ronaldo kwenye media licha ya ukubwa wake katika soka!?
Wapi nimedhani ni zile sumaku za kuvutia vyumba ulizotumia utotoni?Kwahiyo mtu akisema sumaku unadhani ni zile sumaku za kuvutia vyuma ulizotumia utotoni!?